OLS
JF-Expert Member
- Oct 12, 2019
- 419
- 669
Haya wadau, Ikulu ambayo ni serikali kuu imejiunga Youtube Desemba 22, 2012 wakati Bunge TV imejiunga Youtube Mei 12, 2017. Wakati huo tunapaswa kujua Bunge ndilo linawasemea wananchi hivyo tunapaswa kujua wanasema nini lakini tofauti ya wao kujiunga ni miaka mitano.
Aidha kwenye upande wa subscribers Ikulu Mawasiliano ina Subscribers 179k wakati bunge lina 8.87k hata views zimetofutiana. Data hizo nimezisoma leo Februari 3, 2022.
Swali ni Je kwa nini mihimili hii ya serikali imekuwa na muda tofauti wa kutumia teknolojia kufikia wananchi?
Signed
OEDIPUS
Aidha kwenye upande wa subscribers Ikulu Mawasiliano ina Subscribers 179k wakati bunge lina 8.87k hata views zimetofutiana. Data hizo nimezisoma leo Februari 3, 2022.
Swali ni Je kwa nini mihimili hii ya serikali imekuwa na muda tofauti wa kutumia teknolojia kufikia wananchi?
Signed
OEDIPUS