Je, Kwanini Dr. Kigwangalla anajiona bora kuliko mawaziri wengine?

Mkwawa mnyalukoro

JF-Expert Member
Oct 11, 2017
232
136
JE KWANINI DR KIGWANGALAH ANAJIONA NI SPECIAL ONE KWENYE WIZARA YAKE KULIKO WENGINE
3f99913d2ef58a076f45afb1f50d4a64.jpg


By Mwanakijiji Lugusi

Lazima tukubali tu kuwa Baadh ya mawaziri Serikali hii ya awamu ya tano imejaa viongozi wa matamko tu na ndo maana mh JPM huwatumbuliaga MAJUKWAAN

WENGI tumeona hawana upeo wa uongozi..mifano mizuri ni hawa wanaojiita akina mnyeti na wengne Wa karibu yake wanaoongozwa na mihemko ya kumfurahisha boss badala ya kujikita kutatua changamoto zinaziwakabili wananchi

Sasa nijikite kwenye hoja yangu juu ya Huyu anayeitwa Kigwangala hakika hakuna waziri ambaye anakurupuka kama kigwangala yaan inafikia kipindi amelaumiwa mpaka na Wabunge wenzake wa CCM kwa mambo ya hovyo anayoyafanya kwenye Wizara ya Maliasili na Utalii.

Na si kwamba hawa wabunge wana chuki nae hapana bali utendaji wa kazi mbovu wa Kigwangala.

Kigwangala ameshafikia hatua ya kugombana na Waziri wa Nyumba na Makazi Mhe. Lukuvi kuhusu viwanja vya Wizara yake kuingiliwa na watu wa Ardhi.

Lakin mh Lukuvi alisema hana taarifa na mgogoro huo wala hajaambiwa na Kigwa zaidi ya kumsikia akibwabwaja Bungeni na kwenye media.

Tunachoongelea hapa ni UTAWALA BORA na si bora Utawala. Hivi Kigwangalla anaposhambulia Wabunge wenzake au waliopitia Wizara hiyo au Wabunge wa Upinzani hasa mchungaji MSIGWA kwa kudai kuwa wana hisa kwenye Makampuni ya Uwindaji ilhali hana USHAHIDI kwake ni sawa?
 
kigangwara chokle tu
alipewa nafasi ambayo hakutegemea
[HASHTAG]#fakazama[/HASHTAG]
 
  • Thanks
Reactions: SDG
JE KWANINI DR KIGWANGALAH ANAJIONA NI SPECIAL ONE KWENYE WIZARA YAKE KULIKO WENGINE
3f99913d2ef58a076f45afb1f50d4a64.jpg


By Mwanakijiji Lugusi

Lazima tukubali tu kuwa Baadh ya mawaziri Serikali hii ya awamu ya tano imejaa viongozi wa matamko tu na ndo maana mh JPM huwatumbuliaga MAJUKWAAN

WENGI tumeona hawana upeo wa uongozi..mifano mizuri ni hawa wanaojiita akina mnyeti na wengne Wa karibu yake wanaoongozwa na mihemko ya kumfurahisha boss badala ya kujikita kutatua changamoto zinaziwakabili wananchi

Sasa nijikite kwenye hoja yangu juu ya Huyu anayeitwa Kigwangala hakika hakuna waziri ambaye anakurupuka kama kigwangala yaan inafikia kipindi amelaumiwa mpaka na Wabunge wenzake wa CCM kwa mambo ya hovyo anayoyafanya kwenye Wizara ya Maliasili na Utalii.

Na si kwamba hawa wabunge wana chuki nae hapana bali utendaji wa kazi mbovu wa Kigwangala.

Kigwangala ameshafikia hatua ya kugombana na Waziri wa Nyumba na Makazi Mhe. Lukuvi kuhusu viwanja vya Wizara yake kuingiliwa na watu wa Ardhi.

Lakin mh Lukuvi alisema hana taarifa na mgogoro huo wala hajaambiwa na Kigwa zaidi ya kumsikia akibwabwaja Bungeni na kwenye media.

Tunachoongelea hapa ni UTAWALA BORA na si bora Utawala. Hivi Kigwangalla anaposhambulia Wabunge wenzake au waliopitia Wizara hiyo au Wabunge wa Upinzani hasa mchungaji MSIGWA kwa kudai kuwa wana hisa kwenye Makampuni ya Uwindaji ilhali hana USHAHIDI kwake ni sawa?
Kazi tu mkuu, wewe ndio unamuona bora, zama za kufitinisha mawaziri zimekwisha, mtasubiri sana,

Magufuli Oyeeee!!!
 
JE KWANINI DR KIGWANGALAH ANAJIONA NI SPECIAL ONE KWENYE WIZARA YAKE KULIKO WENGINE
3f99913d2ef58a076f45afb1f50d4a64.jpg


By Mwanakijiji Lugusi

Lazima tukubali tu kuwa Baadh ya mawaziri Serikali hii ya awamu ya tano imejaa viongozi wa matamko tu na ndo maana mh JPM huwatumbuliaga MAJUKWAAN

WENGI tumeona hawana upeo wa uongozi..mifano mizuri ni hawa wanaojiita akina mnyeti na wengne Wa karibu yake wanaoongozwa na mihemko ya kumfurahisha boss badala ya kujikita kutatua changamoto zinaziwakabili wananchi

Sasa nijikite kwenye hoja yangu juu ya Huyu anayeitwa Kigwangala hakika hakuna waziri ambaye anakurupuka kama kigwangala yaan inafikia kipindi amelaumiwa mpaka na Wabunge wenzake wa CCM kwa mambo ya hovyo anayoyafanya kwenye Wizara ya Maliasili na Utalii.

Na si kwamba hawa wabunge wana chuki nae hapana bali utendaji wa kazi mbovu wa Kigwangala.

Kigwangala ameshafikia hatua ya kugombana na Waziri wa Nyumba na Makazi Mhe. Lukuvi kuhusu viwanja vya Wizara yake kuingiliwa na watu wa Ardhi.

Lakin mh Lukuvi alisema hana taarifa na mgogoro huo wala hajaambiwa na Kigwa zaidi ya kumsikia akibwabwaja Bungeni na kwenye media.

Tunachoongelea hapa ni UTAWALA BORA na si bora Utawala. Hivi Kigwangalla anaposhambulia Wabunge wenzake au waliopitia Wizara hiyo au Wabunge wa Upinzani hasa mchungaji MSIGWA kwa kudai kuwa wana hisa kwenye Makampuni ya Uwindaji ilhali hana USHAHIDI kwake ni sawa?
Kamanda mtarajiwa
 
Hivi huyu si alikopi hotuba ya Obama kwenye mbio za kuitafuta Ikulu? Yaani Tanzania safi sana,halafu eti ndio waziri!
 
JE KWANINI DR KIGWANGALAH ANAJIONA NI SPECIAL ONE KWENYE WIZARA YAKE KULIKO WENGINE
3f99913d2ef58a076f45afb1f50d4a64.jpg


By Mwanakijiji Lugusi

Lazima tukubali tu kuwa Baadh ya mawaziri Serikali hii ya awamu ya tano imejaa viongozi wa matamko tu na ndo maana mh JPM huwatumbuliaga MAJUKWAAN

WENGI tumeona hawana upeo wa uongozi..mifano mizuri ni hawa wanaojiita akina mnyeti na wengne Wa karibu yake wanaoongozwa na mihemko ya kumfurahisha boss badala ya kujikita kutatua changamoto zinaziwakabili wananchi

Sasa nijikite kwenye hoja yangu juu ya Huyu anayeitwa Kigwangala hakika hakuna waziri ambaye anakurupuka kama kigwangala yaan inafikia kipindi amelaumiwa mpaka na Wabunge wenzake wa CCM kwa mambo ya hovyo anayoyafanya kwenye Wizara ya Maliasili na Utalii.

Na si kwamba hawa wabunge wana chuki nae hapana bali utendaji wa kazi mbovu wa Kigwangala.

Kigwangala ameshafikia hatua ya kugombana na Waziri wa Nyumba na Makazi Mhe. Lukuvi kuhusu viwanja vya Wizara yake kuingiliwa na watu wa Ardhi.

Lakin mh Lukuvi alisema hana taarifa na mgogoro huo wala hajaambiwa na Kigwa zaidi ya kumsikia akibwabwaja Bungeni na kwenye media.

Tunachoongelea hapa ni UTAWALA BORA na si bora Utawala. Hivi Kigwangalla anaposhambulia Wabunge wenzake au waliopitia Wizara hiyo au Wabunge wa Upinzani hasa mchungaji MSIGWA kwa kudai kuwa wana hisa kwenye Makampuni ya Uwindaji ilhali hana USHAHIDI kwake ni sawa?
Mbona Msigwa alimuita Lowasa ni fisadi wakati hana ushahidi??
 
Watanzania tunafahamiana kwa jinsi tunavyopenda wazembe na kuwachukia wachapa kazi, tunafahamu pia mnavyopenda chokochoko kwasababu hamna mengi sana ya kushughulisha ubongo wenu.

Natamani kuwaona mawaziri wote wanakuwa special kama mnavyomsema huyu kwa manufaa ya nchi yetu. Kuna watu wenye kuwaza upande upande wakati tunakwenda mbele, juzi tu nimeona wengine wakija na taarabu zao eti wanamchongea RC Mwanri ili aonekane mbaya kwa rais, hizi zote ni njaa zenu na kwamwe hamtoweza kutoboa. Ni lazima tuwaambie ukweli ya kuwa, hawamu hii si ya kulembuliana macho kana kwamba tunatafuta mchumba kuchumbia nchi yetu. Hawamu hii ni hawamu ya kazi na kwa yule ambaye anahisi nafasi yake ya kufanya majungu imekosa basi ahamie saluni akafanye umbea huko
 
Back
Top Bottom