BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,818
- 11,000
Ni kua watanzania wengi na nikiwemo mtazamo wetu ni kua ajira zinapatikana serikalini ama taasisi fulani,sasa je hatuwezi kuwaza kujiajiri wenyewe,na kama haiwezekani unadhani elimu uliyopata ina ujuzi wa wewe kuajiriwa na si kujiajiri mwenyewe,na kama wanaoajiri wakigoma tusubirie wakiajiri tena ama basi hakuna mbinu mbadala ya kujiajiri