Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,224
Katika Mambo ya Kihuni kuwahi kuyashuhudia ni hili la Leo la Aliyekua Mbunge wa CHADEMA, Joseph Mbilinyi au Sugu. Ana Siasa Chafu sana nawapongeza Polisi wanatumia weledi sana na hatimaye kumdhibiti.
Kuna Miongozo ilishatolewa kwenda NEC kuchukua Form unaenda bila wafuasi wewe unafunga barabara na Kuanza kubishana na Polisi na Kumvunjia heshima Jeshi la Polisi linapitia wakati Mgumu sana.
Hivi kwanini Hamjifunzi kwa Joseph Haule, Prof. Jay mbona yupo upinzani na he is very humble hana siasa za Majitaka/ mitaroni kama zinazofanywa na Sugu pamoja na Kufunzwa jela huyu jamaa hajabadilika kabisa.
Godbles Lema naye alibadilika sana baada ya Kunyea Ndoo sana pale gereza la Kisongo na nakupongeza sana tatizo lipo kwa Sugu, Mdee, Matiko wao fujo mda wote.
Hata wakati Tundu Lissu anachukua Form nilishangaa watu wanaimba tunataka form yetu, tunataka form yetu X 20
Tazama video hapa chini Sugu akipigwa tanganyika Jeki baada ya kufanya vitendo vya ‘kihuni’ vya kubishana na OCS.
Kuna Miongozo ilishatolewa kwenda NEC kuchukua Form unaenda bila wafuasi wewe unafunga barabara na Kuanza kubishana na Polisi na Kumvunjia heshima Jeshi la Polisi linapitia wakati Mgumu sana.
Hivi kwanini Hamjifunzi kwa Joseph Haule, Prof. Jay mbona yupo upinzani na he is very humble hana siasa za Majitaka/ mitaroni kama zinazofanywa na Sugu pamoja na Kufunzwa jela huyu jamaa hajabadilika kabisa.
Godbles Lema naye alibadilika sana baada ya Kunyea Ndoo sana pale gereza la Kisongo na nakupongeza sana tatizo lipo kwa Sugu, Mdee, Matiko wao fujo mda wote.
Hata wakati Tundu Lissu anachukua Form nilishangaa watu wanaimba tunataka form yetu, tunataka form yetu X 20
Tazama video hapa chini Sugu akipigwa tanganyika Jeki baada ya kufanya vitendo vya ‘kihuni’ vya kubishana na OCS.