Kama ni kweli amesema, iwe madai ya Mbowe yana ukweli au hayana, binafsi naona amekosea sana kusema waziwazi haya.
Tunaweza kuligawa taifa kiutani tu.
Watu wa Kanda ya Ziwa wanaenjoy nini ?sio kaskazini tu hata sisi wa nyanda za juu kusini kutufanya kitu mbaya ,watu wa kanda ya ziwa ndio wanaenjoy
mbuga mpya, teuzi nyingi watu wa uko, viwanja vya ndege, na mengi tuWatu Wa Kanda Ya Ziwa, Wanaenjoy Nini ?
Kama ni kweli amesema,iwe madai ya Mbowe yana ukweli au hayana, binafsi naona amekosea sana kusema waziwazi haya.
Tunaweza kuligawa taifa kiutani tu.
Siamini km mbowe Anaweza kusema maneno haya. Mbowe umejidhalilisha sana.
Kaskazini imekosa nini ukilinganisha na Kusini ambapo kuna umaskini mkubwa?
Tuache kumtupia Rais lawama zisizo za kweli.
Kwahiyo kwa mujibu wa Mbowe ni kwamba anataka kusema mikoa yenye umuhimu Tanzania nzima ni hiyo ya Kaskazini pekee na mingine haina umuhimu au nayo haina changamoto zozote zile? Sasa naanza Kuelewa ni kwanini upinzani nchini Tanzania hauwezi Kuing'oa CCM na kushika dola hasa kutokana na kauli zilizo 'very illogical' kama hizi za viongozi wao waandamizi.
''Awamu ya tano imetuumiza sana watu wa Kaskazini, mashambulizi mengi yamelenga kaskazini, na sio kwamba ni sisi CHADEMA tu, hata wanachama wa CCM wa Kaskazini wameumizwa sana na serikali hii ya awamu ya tano''
''Awamu ya tano imetuumiza sana watu wa Kaskazini, mashambulizi mengi yamelenga kaskazini, na sio kwamba ni sisi CHADEMA tu, hata wanachama wa CCM wa Kaskazini wameumizwa sana na serikali hii ya awamu ya tano''
''Awamu ya tano imetuumiza sana watu wa Kaskazini, mashambulizi mengi yamelenga kaskazini, na sio kwamba ni sisi CHADEMA tu, hata wanachama wa CCM wa Kaskazini wameumizwa sana na serikali hii ya awamu ya tano''
Mbuga Ya Wanyama Na Uwanja Wa Ndege Chato Ndo Kuenjoy Kwa Watu Wa Kanda Ya Ziwa ?mbuga mpya, teuzi nyingi watu wa uko, viwanja vya ndege, na mengi tu