mwikumwiku
Senior Member
- Jul 15, 2011
- 153
- 35
Baba wa Taifa, Mwl. J.K Nyerere katika kitabu chake kiitwacho UONGOZI WETU NA HATIMA YA TANZANIA ukurasa wa 50 anasema hivi:
RAIS MWINYI NI MTU MWEMA NA MPOLE, LAKINI NI DHAIFU; NA UPOLE WAKE NA UDHAIFU WAKE UNATUMIWA NA WATU AMBAO WALA SI WEMA WALA WAPOLE KUHATARISHA UMOJA NA AMANI YA NCHI YETU.
Je kwa maneno haya mtazamo huu, je ingekuwa leo angeadhibiwa? TUTAFAKARI
RAIS MWINYI NI MTU MWEMA NA MPOLE, LAKINI NI DHAIFU; NA UPOLE WAKE NA UDHAIFU WAKE UNATUMIWA NA WATU AMBAO WALA SI WEMA WALA WAPOLE KUHATARISHA UMOJA NA AMANI YA NCHI YETU.
Je kwa maneno haya mtazamo huu, je ingekuwa leo angeadhibiwa? TUTAFAKARI