Je kwa hospitali za hapa nchini, damu salama ya kumuongezea mtu aliyeishiwa au kupungukiwa inauzwa?

Haiuzwi ila inatakiwa kuchukua ndugu na jamaa unaenda nao ilala pale damu salama wanawatoa damu halafu unapewa memo ukipereka hspl ingine wana release damu waliyonayo kwenye stock kwa mgonjwa wako.
 
Haiuzwi ila inatakiwa kuchukua ndugu na jamaa unaenda nao ilala pale damu salama wanawatoa damu halafu unapewa memo ukipereka hspl ingine wana release damu waliyonayo kwenye stock kwa mgonjwa wako.


Kuna ndugu yangu kanunua damu kwa sh 70000 kwa kila chupa moja au unit na alitakiwa unit tatu === sh 210000/=
 
Hapana haiuzwi, lakini endapo utakua huna ndugu wa kuReplace damu aliyopewa nduguyo bas utapaswa utafte mtu baki akusaidie kwa makubaliano yenu wenyewe
 
Hapana haiuzwi, lakini endapo utakua huna ndugu wa kuReplace damu aliyopewa nduguyo bas utapaswa utafte mtu baki akusaidie kwa makubaliano yenu wenyewe
1. Natoaga mara nyingi niwezavyo kwa mwaka freely to unknown.
2. Muda si mrefu nitakwenda kutoa.
3. Niliwahi kushuhudia wafanyakazi wa maabara wakizozana maabara ya hiyo hosptali ya mkoa, kuna mmoja wao walizidiwa ujanja na wenzake. Hakupata mgao
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom