Je kwa hili amuoni kama Zitto ni kibaraka?

gwavara

Member
Apr 5, 2012
37
5
Baada ya uchaguzi mkuu 2010 kuisha kikao cha kwanza cha bunge kiliendana na uundaji wa kamati!ccm walijitaidi kwa nguvu zote kuitikisa kambi rasmi ya upinzani bungeni iliyokuwa inaundwa na cdm ili zile kamati za kudumu za bunge zinazoongozwa na upinzani zote zisiangukie kwa cdm coz is a threat kwao.walitengua hadi kanuni ili vyama vingine mamluki vipate nafasi!mapesa,l.mrema walipigiwa kura za kishindo pamoja na zitto kabwe waliyekua wanamuunga mkono!tujiulize hivi katika mazingira ya kawaida ccm wangeweza kumpigia kura lissu?na je kwa nini zitto walimtaka?maoni yangu ni kuwa wanamtumia na yuko under special contract kuimaliza cdm!naomba mawazo yenu
 
Baada ya uchaguzi mkuu 2010 kuisha kikao cha kwanza cha bunge kiliendana na uundaji wa kamati!ccm walijitaidi kwa nguvu zote kuitikisa kambi rasmi ya upinzani bungeni iliyokuwa inaundwa na cdm ili zile kamati za kudumu za bunge zinazoongozwa na upinzani zote zisiangukie kwa cdm coz is a threat kwao.walitengua hadi kanuni ili vyama vingine mamluki vipate nafasi!mapesa,l.mrema walipigiwa kura za kishindo pamoja na zitto kabwe waliyekua wanamuunga mkono!tujiulize hivi katika mazingira ya kawaida ccm wangeweza kumpigia kura lissu?na je kwa nini zitto walimtaka?maoni yangu ni kuwa wanamtumia na yuko under special contract kuimaliza cdm!naomba mawazo yenu
Facebook material!!
 
Acheni kukimbia kivuli chenu. Zitto ni zaidi ya CHADEMA. Amekaa kitaifa na kimataifa zaidi.
 
Hivi kila siku Zitto msaliti Zitto Zitto Zitto, kwa upande wangu awe msaliti asiwe msaliti but the guy is smart anajua mambo mengi, anajua kujenga hoja yaani utafikiri hajakulia maeneo ya Mwandiga, Bitare, Kibilizi etc. Kama uliangalia bunge la jana jioni ni kwamba yeye ndo alikua mwongeaji na wabunge wengine wakageuka kuwa wasikilizaji, alimchachafya sana Mh Chami. Zito for prezidency 2015
 
Kama umejiunga kumchafua ZITTO basi umechemka,
ZITTO ni sawa na almasi kwenye matope, watu wataisafisha na kuitumia.
ZITTO ni mbunge pekee chadema mwenye uwezo wa kujenga hoja binafsi na mwenye kujiamini kiasi hata wana CCM wanamgwaya.
Hachafuliwi zito kirahisi namna hiyo, we utamfananisha ZITTO na SUGU?
Hoja legelege
 
Hivi kila siku Zitto msaliti Zitto Zitto Zitto, kwa upande wangu awe msaliti asiwe msaliti but the guy is smart anajua mambo mengi, anajua kujenga hoja yaani utafikiri hajakulia maeneo ya Mwandiga, Bitare, Kibilizi etc. Kama uliangalia bunge la jana jioni ni kwamba yeye ndo alikua mwongeaji na wabunge wengine wakageuka kuwa wasikilizaji, alimchachafya sana Mh Chami. Zito for prezidency 2015


nafikiri kufahamu mambo mengi sio hoja ya msingi iliyoletwa, some one can be smart enough to make u to be completely and consistently misled ...so be cautious with smart guys..have deep analysis of issues...when someone speaks in the parliament,other are bound to listen...hivyo kusema alikuwa mzungumzaji na wengine wasikilizaji ni utaratibu wa kawaida hata kwenye mabaraza ya kupiga soga.
 
Kama umejiunga kumchafua ZITTO basi umechemka,
ZITTO ni sawa na almasi kwenye matope, watu wataisafisha na kuitumia.
ZITTO ni mbunge pekee chadema mwenye uwezo wa kujenga hoja binafsi na mwenye kujiamini kiasi hata wana CCM wanamgwaya.
Hachafuliwi zito kirahisi namna hiyo, we utamfananisha ZITTO na SUGU?
Hoja legelege

Binafsi siono jipya kwa Zito Ingawaje siku za Karibuni CUF na CCM damu damu wanampaisha sana..., Ana vielemnt vya Kafulila au Walid Kabour kwa hiyo hafai kuwa kiongozi wa Upinzani. Ukitaka kujua angalia matukio anayofanya.
 
Binafsi siono jipya kwa Zito Ingawaje siku za Karibuni CUF na CCM damu damu wanampaisha sana..., Ana vielemnt vya Kafulila au Walid Kabour kwa hiyo hafai kuwa kiongozi wa Upinzani. Ukitaka kujua angalia matukio anayofanya.

Hebu nijibu hili swali!
Unajua ni kw nini VIONGOZI wa chadema wanampandisha sana jukwaani ZITTO? ukipata jibu utajua umuhimu wa zito kwenye chama cha MTEI.
 
Ni kweli kabisa,na lazima tukumbuke wakina mrema walivyo tuyumbisha na siasa za kimamluki ktk uchaguzi wa awamu ya tatu. Watu wenye nia mbaya na mabadiriko lzm wakemewe.
 
Baada ya uchaguzi mkuu 2010 kuisha kikao cha kwanza cha bunge kiliendana na uundaji wa kamati!ccm walijitaidi kwa nguvu zote kuitikisa kambi rasmi ya upinzani bungeni iliyokuwa inaundwa na cdm ili zile kamati za kudumu za bunge zinazoongozwa na upinzani zote zisiangukie kwa cdm coz is a threat kwao.walitengua hadi kanuni ili vyama vingine mamluki vipate nafasi!mapesa,l.mrema walipigiwa kura za kishindo pamoja na zitto kabwe waliyekua wanamuunga mkono!tujiulize hivi katika mazingira ya kawaida ccm wangeweza kumpigia kura lissu?na je kwa nini zitto walimtaka?maoni yangu ni kuwa wanamtumia na yuko under special contract kuimaliza cdm!naomba mawazo yenu

Ushabiki kwa makamanda wa CDM, ndio utakao kiangamiza chama. Kuna washabiki wa zito, Slaa, Mbowe nk. Hii ni hatari kwa chama. Mimi nimemsikia mbunge mmoja wa ccm akisema kuwa waliamua kumpa zito nafasi hiyo kwa sababu zao za kisiasa. So CDM inapaswa kuwa makini na CCM.
 
Ni kweli ni jambo linalotia shaka ila huyu tayari alishafahamika na uthibiti kwamba chama hakiathiriki ni mkubwa
 
wacha niwe huru kuzungumza nionavyo kuna sababu ya CCm kumuunga mkono Zitto na kuwakebehi wabunge wengine wa upinzani (mfano vijembe alivyokuwa akitupiwa Lissu kuwa elimu yake ya ovyo).
Hawa wanahitaji Zitto apate nguvu na kuungwa mkono kwa lazima ndani ya chama chake kusudi apitishwe yeye katika uongozi wa nchi pale yatakapotimia ya upinzani kushika hatamu na si yule wanayemdhania ni tishio kwao na mashali yao(machafu)....
Hili liko wazi Zitto si tishio kwa maslahi yao yaliyo na mashaka kibao
 
Bila shaka wewe ni gamba la nguvu au mwana cuf uliyedandia siasa.niko cdm tangu 2007 nakijua chama changu vizuri!eti zitto ni zaidi ya chama.tuombe mgombea binafsi apitishwe tuone kama zitto bila hao mafisadi akina rostam ataweza fanya lolote
 
Acheni kukimbia kivuli chenu. Zitto ni zaidi ya CHADEMA. Amekaa kitaifa na kimataifa zaidi.

Wewe ni zuzu au unatabia ya Nyegere? Unapojibu unatakiwa utoe point isiyoendeleza uchafu.Kwa ufupi wewe na huyo uliyemjibu mtabaki kuwachinjia kuku wageni nyumbani kwenu.Fanyeni kazi,CHADEMA ITABAKI CHADEMA NA MH.ZITTO ATABAKI MH.ZITTO.
 
Baada ya uchaguzi mkuu 2010 kuisha kikao cha kwanza cha bunge kiliendana na uundaji wa kamati!ccm walijitaidi kwa nguvu zote kuitikisa kambi rasmi ya upinzani bungeni iliyokuwa inaundwa na cdm ili zile kamati za kudumu za bunge zinazoongozwa na upinzani zote zisiangukie kwa cdm coz is a threat kwao.walitengua hadi kanuni ili vyama vingine mamluki vipate nafasi!mapesa,l.mrema walipigiwa kura za kishindo pamoja na zitto kabwe waliyekua wanamuunga mkono!tujiulize hivi katika mazingira ya kawaida ccm wangeweza kumpigia kura lissu?na je kwa nini zitto walimtaka?maoni yangu ni kuwa wanamtumia na yuko under special contract kuimaliza cdm!naomba mawazo yenu

Magamba bana kila siku Zitto Zitto mnabasilisha tu heading Content Zilezile (Uchonganishi) Imekula kwenu CCM. CDM are united are very determined to take the country on 2015 and your cheap propaganda won't hold water ha ha ha
 
Bila shaka wewe ni gamba la nguvu au mwana cuf uliyedandia siasa.niko cdm tangu 2007 nakijua chama changu vizuri!eti zitto ni zaidi ya chama.tuombe mgombea binafsi apitishwe tuone kama zitto bila hao mafisadi akina rostam ataweza fanya lolote

Acha Uongo CDM hakuna watu wenye Tabia za Fitna kama Wewe. You are nothing but a GAMBA
 
Ushabiki kwa makamanda wa CDM, ndio utakao kiangamiza chama. Kuna washabiki wa zito, Slaa, Mbowe nk. Hii ni hatari kwa chama. Mimi nimemsikia mbunge mmoja wa ccm akisema kuwa waliamua kumpa zito nafasi hiyo kwa sababu zao za kisiasa. So CDM inapaswa kuwa makini na CCM.

Mkuu Usijali tumeshawashtukia Wengi wala hawako CDM ni CCM wanaojifanya Wapambe wa Mbowe na Zitto wakija hapa Kuanzisha na Kuchochea Mijadala ya Chuki na Fitna. We have a full control of them hawana Ujanja
 
Back
Top Bottom