Baada ya uchaguzi mkuu 2010 kuisha kikao cha kwanza cha bunge kiliendana na uundaji wa kamati!ccm walijitaidi kwa nguvu zote kuitikisa kambi rasmi ya upinzani bungeni iliyokuwa inaundwa na cdm ili zile kamati za kudumu za bunge zinazoongozwa na upinzani zote zisiangukie kwa cdm coz is a threat kwao.walitengua hadi kanuni ili vyama vingine mamluki vipate nafasi!mapesa,l.mrema walipigiwa kura za kishindo pamoja na zitto kabwe waliyekua wanamuunga mkono!tujiulize hivi katika mazingira ya kawaida ccm wangeweza kumpigia kura lissu?na je kwa nini zitto walimtaka?maoni yangu ni kuwa wanamtumia na yuko under special contract kuimaliza cdm!naomba mawazo yenu