Zee Korofi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 1,612
- 1,410
Hello, wajuvi naombeni msaada kwenye hili.
Karibuni sana.!
Karibuni sana.!
Hello, wajuvi naombeni msaada kwenye hili.
Karibuni sana.!
Ahsante sana.Baadhi ya vyuo wanataka Undergraduate (bachelor degree) walau uwe umepata GPA ya 2.8 +, vyuo vingine wanataka walau uwe na GPA 3.0 +
kwanza inategemea na chuo UDSM kama huna first class na second class hawachukui na ukiwa na 2.8 inatakiwa uwe umefanya kazi muda usiopungua miaka 5 ila kwa baadhi ya vyuo ukiwa na 2.8 umeenda bila shida wala masumbuano na manyanyaso
Sio 2.8 Bali ni 2.7Baadhi ya vyuo wanataka Undergraduate (bachelor degree) walau uwe umepata GPA ya 2.8 +, vyuo vingine wanataka walau uwe na GPA 3.0 +