Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,759
- 12,175
Hivi karibuni Kiongozi Mkuu alisikika akiwaambia wawekezaji waendelee kujenga viwanda bila kufanya Environmantal Impact Assessment - EIA. Hii ina maana kuanzia sasa miradi mikubwa na midogo itajengwa bila kufanyika kwa EIA.
Je nini itakuwa athari ya maamuzi haya? Je kuna sababu ya NEMC kuendelea kuwepo?
Je nini itakuwa athari ya maamuzi haya? Je kuna sababu ya NEMC kuendelea kuwepo?