NTV Kenya wanajadili na kungalia kama kuoa wake wengi ni jambo la busara na ni bora.
Sikiliza hii tube, utashangaa majibu kutoka akina mama.
http://www.youtube.com/watch?v=hf4bVX4-n7Y&feature=player_embedded#
NTV Kenya wanajadili na kungalia kama kuoa wake wengi ni jambo la busara na ni bora.
Sikiliza hii tube, utashangaa majibu kutoka akina mama.
http://www.youtube.com/watch?v=hf4bVX4-n7Y&feature=player_embedded#
Wake wengi ni permisable (siyo dhambi), kwa mwenye uwezo wa kifedha, marital services) and a solution to the women: men world ratio problem
Mbona kuna mwingine anaoa kila kukicha, utasikia kaenda Mwanza kufunga ndoa kinyemela, mara sijui kaoa mke mwarabu, yaani kila siku rumaz za mshikaji kuoa zinaongezeka.Mkuu, kuna Rais anaongeza kila kukicha na kuna dini inaruhusu mpaka Wanne.
unaweza kuthibitisha...........?mbona kuna mwingine anaoa kila kukicha, utasikia kaenda mwanza kufunga ndoa kinyemela, mara sijui kaoa mke mwarabu, yaani kila siku rumaz za mshikaji kuoa zinaongezeka.
Lakini afadhali siku hizi zamani vidada mbona vilikuwa vinakoma!!
Wake wengi ni permisable (siyo dhambi), kwa mwenye uwezo wa kifedha, marital services) and a solution to the women: men world ratio problem