Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,134
- 159,017
Si ndio hapo sasa!Kwahiyo wanawake ndiyo wenye gundu? Au wao nikama mfugo tu yeyote twende?
Si ndio hapo sasa!Kwahiyo wanawake ndiyo wenye gundu? Au wao nikama mfugo tu yeyote twende?
Kama gundu analo mwenyewe? Unazani wanawake hawapati shida wakiolewa na wasio eleweka? Nyie ndiyo huwa watoa misukule wake zenu kisa mali
Ili tusiende mbàli zaidi, namshukururu Mungu sijakutana na mtu wa aina.yako wala nisingeweza hata kuishi naye wiki mojaSasa km huna faida na unapoteza mali Ilizopo kwanini tusikutoe msukule ukarudishe mali ulizopoteza
Mwanamke ana gundu baya sana.Ukitaka mwanaume anayeeleweka chagua wewe,tongoza wewe mtolee mali muoe otherwise wewe inachagia impact flani kwenye maisha usipoleta hiyo impact unakuwa mzigo maana umeghalamiwa kuwekwa ndani ili uwe na mchango kwenye maisha ya mtu
Angalia Baba yake, na kama familia yake inamshinda usitegemee akioa mkewe atakuwa salamaNa ukitaka kumjua mwanaume?
Mkuu hizo gundu za hao wanawake unaweza kutupa ABC?Hahaha
Elon musk alioa mke gundu na bado ni bilionea.
Jef bezo alioa gundu na bado ni bilionea
Mleta mada mi naona hizo point zimekaa ki mfumo dume sana.
Hata wanaume wana ma gundu kama yote kuna mdau nimeona mahal anataka kwenda kutambika.
Swali langu je huyo mzee anamaendeleo makubwa au ni wale wale waganga njaa.
Ingawa haiwezi kuwa hivyo kwa asilimia miaUkitaka kumjua binti mtizame mama yake.mgomba hauzai papai.
Mtazame baba yake.japo wanaume awaathiriki Sana na tabia za wazazi wao japo pia hapa utegemea na maturity ya mtu.Na ukitaka kumjua mwanaume?
Usijfanye hulewi!! hata uwe na jitihada vipi, kisomo vipi mwanake mwenye gundu utaishia nauri tu!! na kukopwa!! mpaka mijasho ya fungus hiyoooo!! au kazi utakalia mshahara tu hkn deal!! sasa muage kidogooo! uondoke nyumbani hapo! km mwezi hivi!! weee!Mkuu kuhusu mafanikio nijitiada zako na maarifa tu, huwezi kutegemea nyota ya mkeo kwa kukaa ndani ili pesa ijilete utakufa njaatu.
Tizama robo lake je lina faaa? au lita pwerepweta bure!Na ukitaka kumjua mwanaume?
Your zodiac sign means nothing.Your parents met 9 months later you were born and the stars and moon had nothing to do with it. The reason you are rude,tempered and don't get along with people is not because you are Gemini or capricorn or Leo it's because you don't have senseMafanikio baada ya ndoa inategemeana na nyota ya mke wako .......kama ana nyota mbovu ..utafilisika Sana ila kama ananyota saaafi utapaishwa juu
Kumbukaa.....mnapo oana mnaunganishwa kiroho ....yaani mnashare baadh ya maagano (laana) au mafanikio........
Lejea uzi wa Mshana Jr
Fanya kazi kwa bidii na maarifa wewe, acha kujijaza ujinga.Usijfanye hulewi!! hata uwe na jitihada vipi, kisomo vipi mwanake mwenye gundu utaishia nauri tu!! na kukopwa!! mpaka mijasho ya fungus hiyoooo!! au kazi utakalia mshahara tu hkn deal!! sasa muage kidogooo! uondoke nyumbani hapo! km mwezi hivi!! weee!
kwenye uchumba jaribu kuonja onja mashin kidogo kidogo akupumulie usiku kucha halafu angalia kesho yake km week ivi je mishe zako zinasonga? unapata hela ya kutosha kumhonga?? au bilabila!!
mke mwenye kismart hata ukiuza mkaa!! watakuja watu full gari wamejaza mkaa kwa mali kauli!! utauza huo mkaa dakika sifuri, na deni unalipa faster kuliko walivo tegemea tayari umejenga uaminifu!! basi ni miezi mitatu tu!! unamfungulia mkeo kiduka!
sasa nionee wateja dukani!! huko utapewa mali kauli tu!! Bakhresa anashusha maji hapo si kitoto!! mwaka tu una nyumba saba! guest house!! sasa muache huyo uone mziki wake!...kimoja baada ya kingine!!
tena..ndo maana vidume ni malaya sana ajili ya kuonja mafanikio mbalimbali!! siyo unakaa na mke miaka mitano huna kazi na umesoma mwee stuka faster weweeeee
Me akiwa na gundu kamwe hakai atakimbia faster mwenyewe kwa masimango!!! lkn ke anaweza vumiliwa hata akazaa!! make kidume utaenda kwa cd atakupa upako!!Ni kweli hayo mambo yapo ila wanawake na wanaume wote wana mikosi sema inatofautiana tu. Mimi nina ushahidi wa mhudumu mmoja wa bar aliniambia kuna jamaa yake akimpa tunda tu yaan mambo yanakuwa safi ila kuna wengine mmh majanga.. kwa hiyo haya mambo yapo ila ni kwa pande zote mbili msiigemee upande wa mwanamke tu hata sisi wanaume tuna gundu.
Utafanya kazi mpaka uchakae kwa mijasho!! wkt wenzako wanapanda ndinga kali na mpyaa!!! unyunyu kwa mbaaali! safari km zote!! wewe unangangania jackie kikwapa wako huyo, na kadri unavokaa nae unakolea umaskini!! badae unaona inakuwa kawaida!!