Je, kunyonywa uume hupunguza nguvu za kiume?

freeboy

JF-Expert Member
Mar 24, 2011
242
191
Habari wana JF Doctor.

Katika pita pita zangu nimekutana na hiyo mada kama kichwa cha habari kinavyojieleza.

Inaelezewa kua kunyonywa uume wakati wa tendo la ndoa usababisha upungufu wa nguvu za KIUME na hii ni kutokana na mate yanayozalishwa kinywan pindi mnyonyaji anaponyonya uume hayana tofauti na yale pindi anapokula chakula.

Ikatolewa mfano wa mtu anayependa kunyonya kidole mara kwa mara na jinsi kidole kinavyoathirika na unyonyaji huo.

Kwenu wataalamu je kuna ukweli juu ya hili jambo?

Na ni kweli kuna mate maalumu yazalishwayo kwa ajili ya kumeng'enya chakula ambayo ndio uleta athari hiyo ya kulegea kwa UUME.

MSAADA WENU NI MUHIMU KTK HILI TUPATE KUELIMIKA.

JUMAPILI NJEMA.
 
kweli kbsa linaleta tatizo la nguvu za kiume. Mtu anayenyonywa uume ni sawa na mtu anayepiga mpunyeto.
Mtu anayefanya mpunyeto huwai kuathirika kwa haraka sana kuliko anayenyonywa. Japokuwa anayenyonywa huchukua muda mrefu kuathirika sbb ile misuli ya uume haibanwi sana kuliko yule anayefanya mpunyeto. Ndio maana utakuta kweny ndoa mume alikuwa anapiga 3, 2 mara 1 mwishowe anaanza kushitua anapiga leo anakaa wiki 2 anafanya tena. Mm huwa hiki kitu sikiruhusu kbs ktk maisha yangu
Mimi sio doctor ila nimejaribu kuelezea kwa uelewa wangu.
 
kweli kbsa linaleta tatizo la nguvu za kiume. Mtu anayenyonywa uume ni sawa na mtu anayepiga mpunyeto.
Mtu anayefanya mpunyeto huwai kuathirika kwa haraka sana kuliko anayenyonywa. Japokuwa anayenyonywa huchukua muda mrefu kuathirika sbb ile misuli ya uume haibanwi sana kuliko yule anayefanya mpunyeto. Ndio maana utakuta kweny ndoa mume alikuwa anapiga 3, 2 mara 1 mwishowe anaanza kushitua anapiga leo anakaa wiki 2 anafanya tena. Mm huwa hiki kitu sikiruhusu kbs ktk maisha yangu
Mimi sio doctor ila nimejaribu kuelezea kwa uelewa wangu.

Asee mkuu unakosa burudani sana,hurusu mke wako kutuma salamu kwa ndugu zake??
 
Habari wana JF Doctor.

Katika pita pita zangu nimekutana na hiyo mada kama kichwa cha habari kinavyojieleza.

Inaelezewa kua kunyonywa uume wakati wa tendo la ndoa usababisha upungufu wa nguvu za KIUME na hii ni kutokana na mate yanayozalishwa kinywan pindi mnyonyaji anaponyonya uume hayana tofauti na yale pindi anapokula chakula.

Ikatolewa mfano wa mtu anayependa kunyonya kidole mara kwa mara na jinsi kidole kinavyoathirika na unyonyaji huo.

Kwenu wataalamu je kuna ukweli juu ya hili jambo?

Na ni kweli kuna mate maalumu yazalishwayo kwa ajili ya kumeng'enya chakula ambayo ndio uleta athari hiyo ya kulegea kwa UUME.

MSAADA WENU NI MUHIMU KTK HILI TUPATE KUELIMIKA.

JUMAPILI NJEMA.

Hili swali halijapata mjuzi wadau.
Cc MziziMkavu mshana jr

kweli kbsa linaleta tatizo la nguvu za kiume. Mtu anayenyonywa uume ni sawa na mtu anayepiga mpunyeto.
Mtu anayefanya mpunyeto huwai kuathirika kwa haraka sana kuliko anayenyonywa. Japokuwa anayenyonywa huchukua muda mrefu kuathirika sbb ile misuli ya uume haibanwi sana kuliko yule anayefanya mpunyeto. Ndio maana utakuta kweny ndoa mume alikuwa anapiga 3, 2 mara 1 mwishowe anaanza kushitua anapiga leo anakaa wiki 2 anafanya tena. Mm huwa hiki kitu sikiruhusu kbs ktk maisha yangu
Mimi sio doctor ila nimejaribu kuelezea kwa uelewa wangu.

Asee mkuu unakosa burudani sana,hurusu mke wako kutuma salamu kwa ndugu zake??


Kuna magonjwa mfano kansa ya koo.

1468291897512.jpg
inaweza kuwa na madhara kwa mwanaume ila ni tiba nzuri kwa mwanamke.

Kufa kufaana.
 
Hamna Kupungua Kitu, Labda Raha tu ndio zinazopatikana Mkuu! Na Kuna Madem wengine Walivyo Mafundi Wa Lick Dick!! Yani usipime.
 
kweli kbsa linaleta tatizo la nguvu za kiume. Mtu anayenyonywa uume ni sawa na mtu anayepiga mpunyeto.
Mtu anayefanya mpunyeto huwai kuathirika kwa haraka sana kuliko anayenyonywa. Japokuwa anayenyonywa huchukua muda mrefu kuathirika sbb ile misuli ya uume haibanwi sana kuliko yule anayefanya mpunyeto. Ndio maana utakuta kweny ndoa mume alikuwa anapiga 3, 2 mara 1 mwishowe anaanza kushitua anapiga leo anakaa wiki 2 anafanya tena. Mm huwa hiki kitu sikiruhusu kbs ktk maisha yangu
Mimi sio doctor ila nimejaribu kuelezea kwa uelewa wangu.
Asante sana mdau kwa haya maelezo naona yamejitosheleza kabsa.

Sasa naanza kupata picha kwa nini hili tatizo limezidi kua kubwa kwa vijana sisi.

Shukran sana. Tuendelee kujifunza.
 
Habari wana JF Doctor.

Katika pita pita zangu nimekutana na hiyo mada kama kichwa cha habari kinavyojieleza.

Inaelezewa kua kunyonywa uume wakati wa tendo la ndoa usababisha upungufu wa nguvu za KIUME na hii ni kutokana na mate yanayozalishwa kinywan pindi mnyonyaji anaponyonya uume hayana tofauti na yale pindi anapokula chakula.

Ikatolewa mfano wa mtu anayependa kunyonya kidole mara kwa mara na jinsi kidole kinavyoathirika na unyonyaji huo.

Kwenu wataalamu je kuna ukweli juu ya hili jambo?

Na ni kweli kuna mate maalumu yazalishwayo kwa ajili ya kumeng'enya chakula ambayo ndio uleta athari hiyo ya kulegea kwa UUME.

MSAADA WENU NI MUHIMU KTK HILI TUPATE KUELIMIKA.

JUMAPILI NJEMA.

Na ni kwanini anyonye uume wakati haukuoteshwa purposely kwa matumizi ya kunyonywa?
 
Wanawake wengi hawajui kunyonya vizuri na wanaweza kukusababishia maumivu ,ila nafikiri haina matatizo na nguvu za kiume.
 
Na ni kwanini anyonye uume wakati haukuoteshwa purposely kwa matumizi ya kunyonywa?
Aah mkuu unatuangusha wanamume sasa,unataka kusema kusuck breast ni vibaya kisa kaumbiwa mtoto anyonye au?!hebu acha idea za kiprimitive asee..!
Binadamu tumepewa utashi,na katika huo utashi ndo ufundi wa kitandani unapoingia.
Kingine,kitabibu inapunguza sana maambukizi hasa ya HIV..!
 
Aah mkuu unatuangusha wanamume sasa,unataka kusema kusuck breast ni vibaya kisa kaumbiwa mtoto anyonye au?!hebu acha idea za kiprimitive asee..!
Binadamu tumepewa utashi,na katika huo utashi ndo ufundi wa kitandani unapoingia.
Kingine,kitabibu inapunguza sana maambukizi hasa ya HIV..!

Nasema hiviii...ndude imeoteshwa kwa ajili ya kuendeleza uzazi na kukojolea tu basi...mswaki na mic kanunue kwa mchina kariakoo!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom