Je, kuna uwezekano wa Papa kuchagua Askofu mwingine Tanzania baada ya Thaddeus Ruwa'ichi kuugua?

Ahsante kwa kuweka kumbukumbu sawa
Mimi ndiyo niko sahihi. Cardinal Laurean Rugambwa alichaguliwa kuwa Cardinal wa kwanza Mwafrika kutoka Africa akiwa ni Askofu wa Jimbo kuu la Bukoba.
Na alihudumu kama Cardinal kutokea Bukoba hadi 1968 alipohamishiwa DSM na Pope Paul VI
 
Wenye ufahamu wanijulishe huyu Cardinal mpya aliyemrithi Pengo amefanyiwa upasuaji mkubwa sana na itamchukua muda sana kurudi kwenye hali yake kwanini Papa Francis asiteue mwakilishi mwingine kwa kuwa hizi ni kazi za kutumikia watu. Au Pengo arudishwe kwenye hiyo nafasi hadi apatikane mtu mwingine.

Na kumbukumbu zangu zinaniambia kuna Papa aliwahi kuondoka kwenye kiti chake kutokana na Afya haikuwa vizuri

Nimtakie Afya njema apone haraka Mwadhama Ruwa'ichi
MABEBERU ndio wanatuchagulia viongozi?
Mbona mkulu kila siku anatuaminisha mabeberu ndio wametuletea umaskini na hawatupendi alafu na yeye anachaguliwa mtu wa kumwongoza na anamtumikia?

Shikamoo mabeberu,

shikamoo wazungu;
shikamoo beberu
 
Mzee wangu.

Mtafutaji hachoki, wewe endelea kutafuta uwepo wa Mungu. Mimi nakuombea NEEMA ili upate kukutana na Uso wa Mungu.

Kwanza kabisa asante kwa kuniona namtafuta Mungu (as opposed to "Godless atheist/ kafir).

Ukweli ni kwamba, siku nikipata uhakika kwamba Mungu yupo kweli, na kuelewa kwa nini mambo yapo hivi yalivyo, nitafurahi sana.

Lakini mpaka sasa sijaona kielelezo cha kueleweka kuhusu hilo.

Ukiacha kuniombea na kuthibitisha kwamba Mungu yupo itapendeza zaidi.
 
Kwani umeambiwa upasuaji aliofanyiwa huyo mrithi wa Pengo utamfanya akae benchi mda mrefu kiasi hicho? Na je wale wasaidizi wake 2? Au ndio unataka achomolewe fasta namna hiyo? Usimfanyie hivyo
Kumne umemmwelewa asante inaonekana kuna kafuraha ikitokea ameshindwa kutekeleza majukumu yake kwani kunani jamani tuwe na akiba ya maneno
 
Kwanza kabisa asante kwa kuniona namtafuta Mungu (as opposed to "Godless atheist/ kafir).

Ukweli ni kwamba, siku nikipata uhakika kwamba Mungu yupo kweli, na kuelewa kwa nini mambo yapo hivi yalivyo, nitafurahi sana.

Lakini mpaka sasa sijaona kielelezo cha kueleweka kuhusu hilo.

Ukiacha kuniombea na kuthibitisha kwamba Mungu yupo itapendeza zaidi.
Neema yake inatosha.
 
Kufikiri mtu anaweza kufikiri chochote. Unaelewa hilo?
Vyema,na kufikiri kwamba Mungu yupo sio tatizo au una tatizo iwapo mtu anafikiri hivyo?Mpumbavu hufikiri moyoni kwake kwamba hakuna Mungu(Zab 53:1 na kuendelea)kasome na uwe na amani moyoni mwako
 
Wenye ufahamu wanijulishe huyu Cardinal mpya aliyemrithi Pengo amefanyiwa upasuaji mkubwa sana na itamchukua muda sana kurudi kwenye hali yake kwanini Papa Francis asiteue mwakilishi mwingine kwa kuwa hizi ni kazi za kutumikia watu. Au Pengo arudishwe kwenye hiyo nafasi hadi apatikane mtu mwingine.

Na kumbukumbu zangu zinaniambia kuna Papa aliwahi kuondoka kwenye kiti chake kutokana na Afya haikuwa vizuri

Nimtakie Afya njema apone haraka Mwadhama Ruwa'ichi
Anaitwa Askofu Yuda Thaddeus Rwai'ichi na wala sio Cardinal
Kwa kutokulijua hili tu wala hustahiki kuendelea kujibiwa
 
Watanzania wengi tulijua Pengo ndio mkuu wa Kanisa Katholiki kabla ya kupumzika
Mkuu wa Kanisa la Tanzania kiitifaki ni Rais wa TEC. Ila je Rais akiwa Askofu wa jumbo la kawaida na siyo Jimbo kuu, protocol inakuwaje?
 
Inaonekana Mungu alikua na mipango mingine wanadamu,tunapenda kulazimisha mambo tu
Pole sana Muhashamu
 
Mkuu wa Kanisa la Tanzania kiitifaki ni Rais wa TEC. Ila je Rais akiwa Askofu wa jumbo la kawaida na siyo Jimbo kuu, protocol inakuwaje?
Inasikitisha sana kuona mkatoliki hajui mfumo wa uongozi wa kanisa lake
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom