Je, kuna uwezekano wa Papa kuchagua Askofu mwingine Tanzania baada ya Thaddeus Ruwa'ichi kuugua?

Kwani mtu ukiuliza kuliko kujifanya mjuaji unapungukiwa Nini?!

Anza kuuliza tofauti ya "askofu" na "kardinali"

Kama unashindwa zaidi consult your Google tujifunze kuwa wadadisi kwa kusoma
Maana mwisho wa siku unaweza kuoneakana "Tia maji"
 
Sorry I mean pop Benedict
Well,

Ni kweli kabisa Pope Benedict XVI aliomba kujiuzulu kwa kuwa na matatizo ya afya ya muda mrefu ambayo kwa mamlaka yake makubwa yalimfanya ashindwe kutimiza majukumu yake vizuri.

Hii ni tofauti kwa Askofu Mkuu Ruwa'ichi:

Mosi; hajaugua kwa muda mrefu.

Pili; hana mamlaka makubwa kama ya Papa, ambayo asipokuwepo kwa muda mfupi ofisini yanaleta shida.
Kimsingi, ana wasaidizi wawili kabisa Maaskofu ambao wanaendelea na uongozi.

Tatu; hajaomba kujiuzulu.

Nne; kama kila Askofu au Padre akiugua tu kidogo aombe kujiuzulu, watajiuzulu wangapi?

Tano; akichaguliwa mwingine, yeye akipona ataenda wapi?

Kumbe, hakuna sababu ya Baba Mtakatifu Francis kuchagua Askofu Mkuu mwingine, wakati "haijathibitika" wala aliyepo "hajathibitisha" kuwa hawezi kuendelea na majukumu yake.

Halafu unatakiwa ujue kuwa mchakato wa kumpata Mchungaji Mkuu wa Jimbo (kuu) lolote lile huwa ni mrefu na unahitaji muda na sala nyingi sana.

Kuwa mvumilivu, Mkuu.
 
Hivi unajua Afrika ina ma kardinal wangapi? Usidhani kila nchi ina Kardinal. Tumepata bahati sana kuwa na Kardinal pengo. Sidhani kama itatokea tena hivi karibuni
Tulishakuwa na Kardinali Rugambwa Tanzania kutoa makardinali kwetu kawaida
 
Hivi unajua Afrika ina ma kardinal wangapi? Usidhani kila nchi ina Kardinal. Tumepata bahati sana kuwa na Kardinal pengo. Sidhani kama itatokea tena hivi karibuni
Tatizo bwana mdogo haelewi maana ya cardinali anafikiri ni mkuu wa Tanzania kumbe hapana.Kuteuliwa kuwa cardinali maana yake umewekwa kwenye foleni ya kuwa Pope Elector yaani unaingia kwenye conclave ya kuchagua Pope.na unaweza kuchaguliwa kuwa pope ndio maana ya kuwa kadinali.Any way Mungu amjalie afya nyingi Baba Askofu Ruwaichi.Alinifundisha umuhimu wa kuwa zealous na sio kuwa Jealous.Mungu akuponye
 
Soma hapo chini
Naomba unifafanulie mkuu
Tatizo bwana mdogo haelewi maana ya cardinali anafikiri ni mkuu wa Tanzania kumbe hapana.Kuteuliwa kuwa cardinali maana yake umewekwa kwenye foleni ya kuwa Pope Elector yaani unaingia kwenye conclave ya kuchagua Pope.na unaweza kuchaguliwa kuwa pope ndio maana ya kuwa kadinali.Any way Mungu amjalie afya nyingi Baba Askofu Ruwaichi.Alinifundisha umuhimu wa kuwa zealous na sio kuwa Jealous.Mungu akuponye
 
Hili ndio Tatizo. Watu wanadhani Kardinal ni mkuu wa kanisa Tanzania.
Tatizo bwana mdogo haelewi maana ya cardinali anafikiri ni mkuu wa Tanzania kumbe hapana.Kuteuliwa kuwa cardinali maana yake umewekwa kwenye foleni ya kuwa Pope Elector yaani unaingia kwenye conclave ya kuchagua Pope.na unaweza kuchaguliwa kuwa pope ndio maana ya kuwa kadinali.Any way Mungu amjalie afya nyingi Baba Askofu Ruwaichi.Alinifundisha umuhimu wa kuwa zealous na sio kuwa Jealous.Mungu akuponye
 
Hivi unajua Afrika ina ma kardinal wangapi? Usidhani kila nchi ina Kardinal. Tumepata bahati sana kuwa na Kardinal pengo. Sidhani kama itatokea tena hivi karibuni
Kabla ya Pengo alikuwepo Cardinal Rugambwa.
Baada ya Pengo upo uwezekano mkubwa tukapata mwingine
 
Judethadeus Ruwa'ichi sio Kardinali - ni Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam.

Hata hivyo, Kanisa Katoliki lina mifumo thabiti sana ya kiuongozi.

Ndio maana sio Jambo la kushangaza kusikia Jimbo fulani halina Askofu au Askofu Mkuu hata kwa zaidi ya miaka minne, na kila kitu kikaenda sawa sawia.

Hili ndio Kanisa pekee liliochwa na Mungu nafsi ya pili - Kanisa moja, Takatifu, Katoliki na la Mitume.
Thibitisha Mungu yupo kwanza.
 
Sina uelewa mkubwa ila nafahamu MTU akishindwa kuendelea kutokana na sababu mbalimbali Pop huchagua mwengine

Bahati nzuri bado hajashindwa kuliongoza Jimbo Kuu la Dar es salaam. Kilichotokea ni maradhi tu ya ghafla yaliyomkuta! na ambayo kimsingi yanaweza kumpata mwanadamu yeyote yule.

Wakati anapoendelea na matibabu, jimbo lina maaskofu wasaidizi wawili wa kumsaidia Askofu Mkuu, hivyo shughuli za kiutawala na huduma mbalimbali zitaendelea kama kawaida. Ikitokea akashindwa kabisa, basi Papa atajulishwa, na utaratibu wa kumpata Askofu Mkuu mpya utafanyika.

Ila kuhusu Muadhama Kardinali Pengo kurudishwa tena kuwa Askofu Mkuu, hilo haliwezekani. Kwa sasa yeye ni Askofu Mkuu mstaafu.
 
Nakubali kuelimishwa
Kwani mtu ukiuliza kuliko kujifanya mjuaji unapungukiwa Nini?!

Anza kuuliza tofauti ya "askofu" na "kardinali"

Kama unashindwa zaidi consult your Google tujifunze kuwa wadadisi kwa kusoma
Maana mwisho wa siku unaweza kuoneakana "Tia maji"
 
Asante kwa kunielimisha

Ila kwa upasuaji wake ni mkubwa sana angeomba kujiuzulu apumzike
Well,

Ni kweli kabisa Pope Benedict XVI aliomba kujiuzulu kwa kuwa na matatizo ya afya ya muda mrefu ambayo kwa mamlaka yake makubwa yalimfanya ashindwe kutimiza majukumu yake vizuri.

Hii ni tofauti kwa Askofu Mkuu Ruwa'ichi:

Mosi; hajaugua kwa muda mrefu.

Pili; hana mamlaka makubwa kama ya Papa, ambayo asipokuwepo kwa muda mfupi ofisini yanaleta shida.
Kimsingi, ana wasaidizi wawili kabisa Maaskofu ambao wanaendelea na uongozi.

Tatu; hajaomba kujiuzulu.

Nne; kama kila Askofu au Padre akiugua tu kidogo aombe kujiuzulu, watajiuzulu wangapi?

Tano; akichaguliwa mwingine, yeye akipona ataenda wapi?

Kumbe, hakuna sababu ya Baba Mtakatifu Francis kuchagua Askofu Mkuu mwingine, wakati "haijathibitika" wala aliyepo "hajathibitisha" kuwa hawezi kuendelea na majukumu yake.

Halafu unatakiwa ujue kuwa mchakato wa kumpata Mchungaji Mkuu wa Jimbo (kuu) lolote lile huwa ni mrefu na unahitaji muda na sala nyingi sana.

Kuwa mvumilivu, Mkuu.
 
Asante kwa kunielimisha

Ila kwa upasuaji wake ni mkubwa sana angeomba kujiuzulu apumzike
Nimeona taarifa kwa umma iliyotolewa na Kanisa Katoliki Jimbo kuu la Dar es Salaam inayoeleza kuwa Mhashamu Baba Askofu Mkuu amefanyiwa Upasuaji MOI akitokea KCMC.

Habari hiyo imeenda mbali na kusema Upasuaji huo ulikuwa wa mafanikio makubwa na kwamba yupo Chumba cha Uangalizi Maalum (ICU) ambacho kimsingi ni kawaida kabisa kwa wagonjwa wanaofanyiwa Upasuaji kuwa chini ya Uangalizi Maalum.

Kwani anasumbuliwa na nini, Mkuu?
 
Kumbe kadinali pengo alikuwa na nafasi ya kuchaguliwa Pop
Tatizo bwana mdogo haelewi maana ya cardinali anafikiri ni mkuu wa Tanzania kumbe hapana.Kuteuliwa kuwa cardinali maana yake umewekwa kwenye foleni ya kuwa Pope Elector yaani unaingia kwenye conclave ya kuchagua Pope.na unaweza kuchaguliwa kuwa pope ndio maana ya kuwa kadinali.Any way Mungu amjalie afya nyingi Baba Askofu Ruwaichi.Alinifundisha umuhimu wa kuwa zealous na sio kuwa Jealous.Mungu akuponye
 
Kumbe kadinali pengo alikuwa na nafasi ya kuchaguliwa Pop
Sio kwamba alikuwa,anayo nafasi ya kuwa Pope mpaka wakati huu.Kuna uwezekano mdogo sana wa kuwa na kadinali mwingine wakati yeye akiwa hai.(Mtazamo wangu)ila kwa wakati huu Jimbo la Dar es Salaam ni la askofu mkuu mwingine.
 
Wenye ufahamu wanijulishe huyu cardinal mpya aliyemrithi pengo amefanyiwa upasuaji mkubwa sana na itamchukua muda sana kurudi kwenye hali yake kwanini Pope fransis asiteue mwakilishi mwingine kwa kuwa hizi ni kaazi za kutumikia watu
Au Pengo arudishwe kwenye hiyo nafasi hadi apatikane MTU mwingine

Na kumbukumbu zangu zinaniambia kuna Papa aliwahi kuondoka kwenye kiti chake kutokana na Afya haikuwa vizuri

Nimtakie Afya njema apone haraka mwadhama ruachi
Rekebisha kauli yako Rwaichi sio Cardinal.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom