Habari ndugu,samahani naomba kufahamishwa kama kuna uwezekano wa mwanamke ambae amepita mafunzo ya kijeshi kuweza kupewa cheo cha CDF,na kama hawezekani ni kwa vigezo gani vinavyopelekea asipewe? Nawasilisha!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.