Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,101
Asante mkuu,.Jibu zuri sana...
Asante mkuu,.Jibu zuri sana...
Kupo mkuu ingawa ni kwa mda mfupi sana coz waovu watapewa nafasi ya kushuhudia wateule wa Mungu wakipaa mawinguni ili kuacha nafasi kwa waovu kuteketezwa kabisa ktk ulimwengu huu. So utamuona nduguyo lakn hutakuwa hata na sekunde moja ya kumkaribia.So, kuonana kupo, siyo?
Mkuu Hivi Hujawahi Jiuliza Sperms Zinazalishaje Kiumbe kama Wewe..Au Unaona Hayana Mratibu Hayo Mambo? Sadly Ukishakufa Ndo Utajua Ukweli..na Itakua TOO LATE!!!There's nothing like a "bright light" kiongozi. When you die, unaoza na kuliwa na wadudu..inabaki mifupa and that's the end of it.
Life after death ni upotoshaji tu ili mwanadamu aishi kwa kujifariji.
Bamileck swali lako ni zuri na fikirishi, lakini majibu utakayopata ni yatakuwa ya kuchanganya kwa kuwa yatategemea sana imani na logic na kwa kuwa kila mtu ana imani yake na logic yake basi wewe jitayarishe kupata maoni tofauti.Tushirikiane kulidadavua hili kwa pamoja kila mtu kwa imani yake na kwa brain yake.
Maana kabla ya hapa duniani hatukumbuki tulikuwa wapi. Je, baada ya hapa duniani tutakutana tena baada ya hapa au ndio tunamaliza kila kitu hapa.
wewe nawe unaleta ubishi wa kijinga hapa,kwani ushahidi wa kihistoria haupo?Acha mawazo ya kihistoria, vitabu vya shuleni vinakudanganya!! Kumbuka hivyohivyo vitabu haviamini uuumbaji wa mwanadamu,!!