Je, kuna uwezekano wa kukutana tena baada ya maisha ya duniani?

Bamileck

Member
Jul 26, 2021
26
39
Tushirikiane kulidadavua hili kwa pamoja kila mtu kwa imani yake na kwa brain yake.

Maana kabla ya hapa duniani hatukumbuki tulikuwa wapi. Je, baada ya hapa duniani tutakutana tena baada ya hapa au ndio tunamaliza kila kitu hapa.
 
Itategemea hazina zenu mumezitunza wapi, kama ukifa ktk haki na mpendwa wako au wapendwa wako vivyo hvyo, basi kulingana na maandiko ni dhahiri mutakutana paradiso na kuishi milele pasipo na kufa tena wala taabu na hadha zozote, bali kama utakufa muovu pamoja na wapendwa wako basi mtakutana ktk lile ziwa la moto kila mmoja akimwambia mwenzake"kwanini hukunionya mapema huku wakipigana, na kama utakufa ktk dhambi na mpendwa wako ktk haki basi mutaonana kwa mda mfupi sana na hamutakaribiana na kufumba na kufumbua kila mmoja ataelekezwa kule alikojiwekea hazina yake
 
Itategemea hazina zenu mumezitunza wapi, kama ukifa ktk haki na mpendwa wako au wapendwa wako vivyo hvyo, basi kulingana na maandiko ni dhahiri mutakutana paradiso na kuishi milele pasipo na kufa tena wala taabu na hadha zozote, bali kama utakufa muovu pamoja na wapendwa wako basi mtakutana ktk lile ziwa la moto kila mmoja akimwambia mwenzake "kwanini hukunionya mapema huku wakipigana, na kama utakufa ktk dhambi na mpendwa wako ktk haki basi mutaonana kwa mda mfupi sana na hamutakaribiana na kufumba na kufumbua kila mmoja ataelekezwa kule alikojiwekea hazina yake.
So, kuonana kupo, siyo? :) :) :)
 
Itategemea hazina zenu mumezitunza wapi, kama ukifa ktk haki na mpendwa wako au wapendwa wako vivyo hvyo, basi kulingana na maandiko ni dhahiri mutakutana paradiso na kuishi milele pasipo na kufa tena wala taabu na hadha zozote, bali kama utakufa muovu pamoja na wapendwa wako basi mtakutana ktk lile ziwa la moto kila mmoja akimwambia mwenzake "kwanini hukunionya mapema huku wakipigana, na kama utakufa ktk dhambi na mpendwa wako ktk haki basi mutaonana kwa mda mfupi sana na hamutakaribiana na kufumba na kufumbua kila mmoja ataelekezwa kule alikojiwekea hazina yake.
😂 😂 mkuu acheni blahblah. hivi vitu mnatoa wapi.
tuweke na reference ya kile tunachokileta hapa
 
Sidhani kama utapata jibu la uhakika kwa swali lako, hata atakae kwambia tutaonana paradiso lakini nae anaogopa kufa
 
Fuvu la binadamu wa kwanza liligunduliwa olduvai miaka 62 iliyopita na walivyolipima kwa carbon14 waligundua lilikuwa na miaka milioni 1.75 ,tambua kwamba yesu ali exist miaka 2000 tu iliyopita sasa piga mahesabu mpaka aje kufikisha miaka milioni 1.75 itakuwa lini hiyo?
 
Fuvu la binadamu wa kwanza liligunduliwa olduvai miaka 62 iliyopita na walivyolipima kwa carbon14 waligundua lilikuwa na miaka milioni 1.75 ,tambua kwamba yesu ali exist miaka 2000 tu iliyopita sasa piga mahesabu mpaka aje kufikisha miaka milioni 1.75 itakuwa lini hiyo?
Natafuta mantiki ya maelezo yako, lakini where!??? Au nasema uongo ndugu zangu!???
 
Jiulize swali hili. Mtu aliyeenda Amerika na aliyeenda Sweden wanaweza wakakutana?

Ila waliokufa katika Kristo watakutana
Hili halina shaka
Kwa sababu kituo Chao ni kimoja ( same destnession
 
Itategemea hazina zenu mumezitunza wapi, kama ukifa ktk haki na mpendwa wako au wapendwa wako vivyo hvyo, basi kulingana na maandiko ni dhahiri mutakutana paradiso na kuishi milele pasipo na kufa tena wala taabu na hadha zozote, bali kama utakufa muovu pamoja na wapendwa wako basi mtakutana ktk lile ziwa la moto kila mmoja akimwambia mwenzake"kwanini hukunionya mapema huku wakipigana, na kama utakufa ktk dhambi na mpendwa wako ktk haki basi mutaonana kwa mda mfupi sana na hamutakaribiana na kufumba na kufumbua kila mmoja ataelekezwa kule alikojiwekea hazina yake.
Jibu zuri sana...
 
Back
Top Bottom