Habar za asubuhi wanajamii forum.
Poleni na majukum ya kutafuta pesa.
Kuanzia wiki hiii kumekua na malumbano bungeni wabunge wengi wa Chama tawala wakipigia chapuo rais kuongezewa muda il aendeleze mazuri waliyoyaona wao.
Binafsi sifurahishwi kabisa na wawakilishi hawa wa wananchi kwa sababu tunayowatuma hawayasemi...hawatusemei shida zetu na matatizo tuliyowatuma wakatuwakilishe, matokeo yake wamebadili mada na kusemea matumbo yao na kujikomba kulikopitiliza kwa Rais.
Najiuliza n kwel wananchi wa CHEMBA mmemtuma Nkamia aseme Rais aongezewe Muda!?
Uropokaji na uchambaji wa KIBAJAJI...michambo ya MILINGA na wabunge wengine wa CCM, hayo ndo mliyotumwa na wananchi!?
Wabunge wa chama tawala ndo wamekua mazwazwa kulamba miguu ya watawala....na kusifia kila kitu kinachofanywa na AWAMU hii.
Je hamna namna yeyote ya kikatiba tofaut na Kura kufuta uwakilishi wao ili turud wote kitaaa waone watoto wanavopata shida kukalia mawe....wazeee wanavopata shida kupata malipo yao halali ya penshen, wajawazito wanavopata shida mahospitalin!???
Kama wanaona utendaji wa rais n wa kutukuka basi wamwache abaki yeye aongoze nchi....ila sisi hatuwataki wao kama wawakilish maana hatuioni kazi yao hata kidogo.
Warud mtaani tupambane na kuisoma namba pamoja.
Binafsi natamani BUNGE lisiwepo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni na majukum ya kutafuta pesa.
Kuanzia wiki hiii kumekua na malumbano bungeni wabunge wengi wa Chama tawala wakipigia chapuo rais kuongezewa muda il aendeleze mazuri waliyoyaona wao.
Binafsi sifurahishwi kabisa na wawakilishi hawa wa wananchi kwa sababu tunayowatuma hawayasemi...hawatusemei shida zetu na matatizo tuliyowatuma wakatuwakilishe, matokeo yake wamebadili mada na kusemea matumbo yao na kujikomba kulikopitiliza kwa Rais.
Najiuliza n kwel wananchi wa CHEMBA mmemtuma Nkamia aseme Rais aongezewe Muda!?
Uropokaji na uchambaji wa KIBAJAJI...michambo ya MILINGA na wabunge wengine wa CCM, hayo ndo mliyotumwa na wananchi!?
Wabunge wa chama tawala ndo wamekua mazwazwa kulamba miguu ya watawala....na kusifia kila kitu kinachofanywa na AWAMU hii.
Je hamna namna yeyote ya kikatiba tofaut na Kura kufuta uwakilishi wao ili turud wote kitaaa waone watoto wanavopata shida kukalia mawe....wazeee wanavopata shida kupata malipo yao halali ya penshen, wajawazito wanavopata shida mahospitalin!???
Kama wanaona utendaji wa rais n wa kutukuka basi wamwache abaki yeye aongoze nchi....ila sisi hatuwataki wao kama wawakilish maana hatuioni kazi yao hata kidogo.
Warud mtaani tupambane na kuisoma namba pamoja.
Binafsi natamani BUNGE lisiwepo.
Sent using Jamii Forums mobile app