Top Thinker
Senior Member
- Sep 8, 2011
- 183
- 125
Wote tumeshuhudia jinsi mvua na radi zilivyoleta maafa jijini dar es salaam hadi watu kupoteza maisha, lakini utabiri wa hali ya hewa kutoka tma mara baada ya taarifa za habari jana tar 19 hakuna walichosema kuhusiana na radi na mvua kali zaidi ya kusema "hali ya mawingu kiasi", sasa tutaendelea kudanganywa hadi lini?? Wangekuwa wakweli angalau ndugu zetu wa mabondeni wangechukua tahadhari.