Je, Kuna umuhimu wa kutoa mahari?

username1

JF-Expert Member
Jan 14, 2016
266
252
Wadau,

Tusaidiane hii issue ya kumlipia mahali mwanamke ni sawa au ndio biashara ya kuuza watu.

=========

Mahari kama inavyojulikana na jamii nyingi za kiafrika kwa ujumla ni ishara ya asante kwa wazazi wa mwanamke kwa kumlea binti na hatimaye unamuoa na kumchukua kwenda kwako/kuishi nae kama mke na mume!

Sasa mimi sioni sababu ya kufanya hivi kwa sababu hakuna wife material! wote niliokutana nao wameharibika yani hawafai kabisa, sio mbele sio nyuma hakuna kwenye afadhali, kwote kunakodoa tuu sasa kuna maana gani ya kutoa shukrani kwa wazazi?

Nimekutana na mikasa kadhaa hadi nkafikia katika hii hali na kuwaambia nyinyi ndugu zangu wanaMMU.

Sio mpango wala nini
 
haina maana yoyotena mi binafsi nishakuwa na mijadala ming xana kuhusu hil jambo,,,,hi kitu n mrad tu na ukiangalia vzr zaid ndo inachochea xana manyanyaso kwenye ndoa
 
Mahari kama inavyojulikana na jamii nyingi za kiafrika kwa ujumla ni ishara ya asante kwa wazazi wa mwanamke kwa kumlea binti na hatimaye unamuoa na kumchukua kwenda kwako/kuishi nae kama mke na mume!

Sasa mimi sioni sababu ya kufanya hivi kwa sababu hakuna wife material! wote niliokutana nao wameharibika yani hawafai kabisa, sio mbele sio nyuma hakuna kwenye afadhali, kwote kunakodoa tuu sasa kuna maana gani ya kutoa shukrani kwa wazazi?

Nimekutana na mikasa kadhaa hadi nkafikia katika hii hali na kuwaambia nyinyi ndugu zangu wanaMMU.

Sio mpango wala nini.
 
Kuna application ya kukadiria kiasi cha mahari unayotakiwa kulipa kutokana na sifa za mwanamke, inafikia hadi sh. 75,000. Kama anakasoro nyingi ikiwemo na hiyo uliosema ya kuharibika nyuma na mbele"
 
Kama hakuna wife material manake hautooa na masuala ya mahari hayatokuusu pia

Fanya mambo mengine mkuu!

Mbona umejibu kwa hasira? Insu kama alivosema mleta mada ni kwamba, mahari ktk jamiizetu ni ishara ya asante kwa wazazi kwa kumlea binti vzr, lakini kama ameshaharibika (mbele na nyuma) kama alivosema mleta mada, kunasababu gani tena ya kulipa mahari?
 
endelea kupiga punyeto tu wewe.
mahari sio shukrani kwa wazazi,mwambie aliyekufundisha ajirekebishe.Ukishindwa kuoa kwa sababu ya mahari ina maana hukujiandaa kuoa.
 
Mbona umejibu kwa hasira? Insu kama alivosema mleta mada ni kwamba, mahari ktk jamiizetu ni ishara ya asante kwa wazazi kwa kumlea binti vzr, lakini kama ameshaharibika (mbele na nyuma) kama alivosema mleta mada, kunasababu gani tena ya kulipa mahari?
Mbona sijajibu kihasira kabisa mkuu
 
mpaka unaamua kumuoa n lazima uwe umeridhia kwa mapenzi yako mwenyew, haijalishi kaaribikiwa kiasi gani,suala n ww kuridhia.

kuhusu mahali ni lazima, na inategemeana na utartibu wa jamii husika.

umuhimu wa mahali kwa jamii zetu ni moja;kuunganisha pande mbili za familia, pili ni alama ya kuwa wewe ndie mme unaetambulika kummiliki mtoto wao,hawatamkubali au kumtambua mtu mwingine hata akijitokeza. kuhusu ahsante kwa wazazi n nyongeza tu.
 
Mkuu mahari ni lazima kutoa hata km haijakamilika ilimradi umetoa.
Bora usifanye harusi ila mahari ukatoe.
Siku mkeo akifa ndiyo utajua umuhimu wa mahari tena unaweza ukalipa mara 2 ya mahari
 
Ukimtolea mahari mwanamke anayeliwa tigo, ujue umepoteza mahari yako tu. Lbda km nawe ni mfuasi wa shetani.
Km siyo ipo siku ndoa yenu lazima ivunjike tu hakuna namna, atataka kuliwa tigo na ww sio mfuasi. Kwahiyo atatafuta member wenzake, na hapo dharau na kiburi vinaanza kuonekana.
Nyakati hizi kabla ya kuoa, inabidi ukampime kbsa km keshafumuliwa marinda.
 
Mahari sio mbaya sana,
Ila ubaya unakuja pale mtu anapo toa kiasi kikubwa cha mahari.
Kutokana na ili upelekea manyanyaso sana kwa hawa wadada zetu .

Pindi wanapo pata mwanaume mwenye gugu na anaye jua kunyanyasa.

Mie bint yangu nitamtoa kwa kiasi kidogo sana cha pesa,sitaki huko mbele ya safari akanyanyaswe kisa mume wako alitoa mahari kubwa.
 
akifa inakuaje mkuu
Wanasusia kuzika (hawatataka mwanawe azikwe) mpaka mahari itolewe.
Kwa hiyo hapa utalazimika ww na ndugu zako mchange ili mahari ipatikane. La sivyo mtakaa na maiti hata km mwaka ndani kwako.
Mahari muhimu sana ndugu tena ni lazima.
Km hauna bora uongee na wazazi wao kbs kuliko kuoa kinyemera tu
 
Wanasusia kuzika (hawatataka mwanawe azikwe) mpaka mahari itolewe.
Kwa hiyo hapa utalazimika ww na ndugu zako mchange ili mahari ipatikane. La sivyo mtakaa na maiti hata km mwaka ndani kwako.
Mahari muhimu sana ndugu tena ni lazima.
Km hauna bora uongee na wazazi wao kbs kuliko kuoa kinyemera tu
Nimekupata mkuu nshawahi kusikia hili jambo zaman
 
Ndiyo hivyo mkuu. Kujiongeza ni muhimu sana.
Hii kitu usikie kwa watu tu, usiombe ikikute.
Ni hatari sana
Msiba ni ishu sana mkuu tena mpendwa wako mbona utatamani uingie kaburini wewe? ila naona wazaz wanaojitambua sio fresh kususia msiba wa mwanao haisaidi chochote zaid ya kuiabisha maiti na kumumiza mme tuu, wazaz wenye kaliba hii ni hatar mno
 
Back
Top Bottom