The lost
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,695
- 8,209
Wakuu salaam.
Hivi majuzi baraza la mitihani la taifa (NECTA) lilitangaza matokeo ya darasa la saba. Katika matokeo hayo bado baraza limekuwa likitumia utaratibu uleule wa kutangaza shule zilizofanya vizuri, wanafunzi waliofutiwa matokeo, mikoa ilioongoza n.k. lakini jambo kubwa kabisa baraza halisemi ni somo gani Mwanafunzi wamefanya vizuri na lipi wamefanya vibaya.
Binafsi sioni umhimu wa kuto matokeo ya kijana mdogo wa darasa la saba kwa mfumo wa grade, badala yake napendekeza mfumo wao uwe wa PASS tu na kila Mwanafunzi aendelee kidato cha kwanza na utahini mkubwa ufanyike kidato cha NNE.
Ambapo hapo kidato cha NNE wanafunzi watakaofaulu vizuri wataendelea na kidato cha tano huko wakihitimu wapatiwe cheti cha high school diploma na watakao fanya vizuri waendelee na chuo kikuu.
Vijana watakaopata medium marks kidato cha NNE waende vyuo vya kati kusomea ufundi na non professional courses. Nasema non professional courses kwa maana kwamba ualimu, sheria na utabibu pamoja na uchumi zitambulike kama professional na zitolewe kwa ngazi ya shahada tu.
Hivi majuzi baraza la mitihani la taifa (NECTA) lilitangaza matokeo ya darasa la saba. Katika matokeo hayo bado baraza limekuwa likitumia utaratibu uleule wa kutangaza shule zilizofanya vizuri, wanafunzi waliofutiwa matokeo, mikoa ilioongoza n.k. lakini jambo kubwa kabisa baraza halisemi ni somo gani Mwanafunzi wamefanya vizuri na lipi wamefanya vibaya.
Binafsi sioni umhimu wa kuto matokeo ya kijana mdogo wa darasa la saba kwa mfumo wa grade, badala yake napendekeza mfumo wao uwe wa PASS tu na kila Mwanafunzi aendelee kidato cha kwanza na utahini mkubwa ufanyike kidato cha NNE.
Ambapo hapo kidato cha NNE wanafunzi watakaofaulu vizuri wataendelea na kidato cha tano huko wakihitimu wapatiwe cheti cha high school diploma na watakao fanya vizuri waendelee na chuo kikuu.
Vijana watakaopata medium marks kidato cha NNE waende vyuo vya kati kusomea ufundi na non professional courses. Nasema non professional courses kwa maana kwamba ualimu, sheria na utabibu pamoja na uchumi zitambulike kama professional na zitolewe kwa ngazi ya shahada tu.