Ngagarupalu
Senior Member
- Oct 13, 2012
- 156
- 57
Wanajf
Je kuna ukweli wowote, kuwa mwanawake anaweza kukaa muda mrefu bila tendo la ndoa (ku-do, ngono) kuliko mwanaume?. Sababu kuu ni kwamba kila mwanaume anaposafiri kikazi au ki masomo hutafuta/kudate mwanawake, bali wanawake huweza kukaa na kutulia mpaka mwisho wa semina/ masomo. Je hii ina uhusiano wowote kisayansi( biology) au ni kijamii ( wanawakw husubiri kutakwa kimapenzi). wenye ujuzi hebu niwekeni sawa!!
Wakatabahu.
Je kuna ukweli wowote, kuwa mwanawake anaweza kukaa muda mrefu bila tendo la ndoa (ku-do, ngono) kuliko mwanaume?. Sababu kuu ni kwamba kila mwanaume anaposafiri kikazi au ki masomo hutafuta/kudate mwanawake, bali wanawake huweza kukaa na kutulia mpaka mwisho wa semina/ masomo. Je hii ina uhusiano wowote kisayansi( biology) au ni kijamii ( wanawakw husubiri kutakwa kimapenzi). wenye ujuzi hebu niwekeni sawa!!
Wakatabahu.