MR TOXIC
Senior Member
- Jun 4, 2019
- 190
- 525
Hello JF
Naomba kufahamu ukweli kuhusu hizi imani ambazo zinaonekana kuwa common miongoni mwa jamii mbali mbali za hapa kwetu.
Je kuna ukweli wowote kwamba mwanaume akipigwa na mwiko wa kusongea ugari anapoteza uwezo wa kupata mtoto??
Je kuna ukweli wowote kwamba ukifagia nyumba au ofisi jioni na kutoa uchafu nje unakuwa una kimbiza bahati au utajiri??
Je hii dhana ya mtu kutumia tafsida katika baadhi ya vitu kwa mfano "dawa ya mboga" anapoenda kununua chumvi nyakati za jioni inahusiana vipi na maisha halisi katika ulimwengu wa kawaida??
Je kuna ukweli wowote kwamba mtoto akikalia kinu wakati akiwa mdogo anapoteza uwezo wa kurefuka siku za usoni baada ya kukua??
Naomba wajuvi wa haya mambo wanitoe tongo tongo isije kufikia mahala tunafanya mambo hatufanikiwi au tukapata madhara kwa sababu ya kuchukulia poa imani kama hizi.
Naomba kufahamu ukweli kuhusu hizi imani ambazo zinaonekana kuwa common miongoni mwa jamii mbali mbali za hapa kwetu.
Je kuna ukweli wowote kwamba mwanaume akipigwa na mwiko wa kusongea ugari anapoteza uwezo wa kupata mtoto??
Je kuna ukweli wowote kwamba ukifagia nyumba au ofisi jioni na kutoa uchafu nje unakuwa una kimbiza bahati au utajiri??
Je hii dhana ya mtu kutumia tafsida katika baadhi ya vitu kwa mfano "dawa ya mboga" anapoenda kununua chumvi nyakati za jioni inahusiana vipi na maisha halisi katika ulimwengu wa kawaida??
Je kuna ukweli wowote kwamba mtoto akikalia kinu wakati akiwa mdogo anapoteza uwezo wa kurefuka siku za usoni baada ya kukua??
Naomba wajuvi wa haya mambo wanitoe tongo tongo isije kufikia mahala tunafanya mambo hatufanikiwi au tukapata madhara kwa sababu ya kuchukulia poa imani kama hizi.