Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,524
Salaam!
Toka kuwa yangu mpaka uzee huu binafsi sijawahi kuonana viumbe wa ajabu ajabu Mathalani Majini na Mauza uza mengineyo.
Ila nimekuwa nikisikia kwa Watu wengi kuwa haya Mauza uza yapo. Sasa wengine wanasema kwenye Maji mengi mfano Bahari, Maziwa na Mito Mikubwa huko ndiko kuna miujizi mingi, yaani viumbe na matukio ya ajabu ajabu unaweza kumbana nao kuliko Nchi kavu ambamo ni nadra.
Ambacho ningependa kujua ni kuwa je, kuna Ukweli na kama Ndivyo kwanini iwe maeneo hayo?
Toka kuwa yangu mpaka uzee huu binafsi sijawahi kuonana viumbe wa ajabu ajabu Mathalani Majini na Mauza uza mengineyo.
Ila nimekuwa nikisikia kwa Watu wengi kuwa haya Mauza uza yapo. Sasa wengine wanasema kwenye Maji mengi mfano Bahari, Maziwa na Mito Mikubwa huko ndiko kuna miujizi mingi, yaani viumbe na matukio ya ajabu ajabu unaweza kumbana nao kuliko Nchi kavu ambamo ni nadra.
Ambacho ningependa kujua ni kuwa je, kuna Ukweli na kama Ndivyo kwanini iwe maeneo hayo?