MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Kakaz, dadaz, wapwaz/binamuz na Babuz...........Nawasalimu kwa upendo na amani.
Nimekaa hapa nikiwaza na kujikuta napata kigugumizi cha mawaazo.......................mara nyingi nimeshuhudia couples mbalimbali zikizaliwa na nyingine kufa wakati nyingine zikisurvive....kuna kitu nimekinote sasa sijui ni mimi au ni mawazo yangu ninaomba msaada wenu katika kunielewesha .
............Mara nyingi zile couples ambazo mwanamke huwa ni aggressive--- kwa maana ya kuwa mnoko yaani asiyetaka mchezo na penzi akupalo.......... hudumu kwa muda mrefu than zile couple ambazo mwanamke ni mpole, ambaye hata kama mwenzi wake kakosea anaogopa kuuliza au hata akiuliza kile atakachojibiwa yeye atakikubali........... mfano umechelewa kurudi nyumbani au amekukuta na sms tata.............atakaa kimya au hata kama akiuliza ukitoa maelezo yoyote atakubali tu ....... tofauti na yule ambaye ni mkali anayeweza hata kukivunjilia mbali kinokia chako.... ambao wengine hudiriki hata kurefer kwa wenzako.... mh kiafabde changu noma!!
Je kuna ukweli wowote hapa?
Nimekaa hapa nikiwaza na kujikuta napata kigugumizi cha mawaazo.......................mara nyingi nimeshuhudia couples mbalimbali zikizaliwa na nyingine kufa wakati nyingine zikisurvive....kuna kitu nimekinote sasa sijui ni mimi au ni mawazo yangu ninaomba msaada wenu katika kunielewesha .
............Mara nyingi zile couples ambazo mwanamke huwa ni aggressive--- kwa maana ya kuwa mnoko yaani asiyetaka mchezo na penzi akupalo.......... hudumu kwa muda mrefu than zile couple ambazo mwanamke ni mpole, ambaye hata kama mwenzi wake kakosea anaogopa kuuliza au hata akiuliza kile atakachojibiwa yeye atakikubali........... mfano umechelewa kurudi nyumbani au amekukuta na sms tata.............atakaa kimya au hata kama akiuliza ukitoa maelezo yoyote atakubali tu ....... tofauti na yule ambaye ni mkali anayeweza hata kukivunjilia mbali kinokia chako.... ambao wengine hudiriki hata kurefer kwa wenzako.... mh kiafabde changu noma!!
Je kuna ukweli wowote hapa?