Je Kuna Ukweli wowote hapa?...........

MwanajamiiOne

Platinum Member
Jul 24, 2008
10,470
6,562
Kakaz, dadaz, wapwaz/binamuz na Babuz...........Nawasalimu kwa upendo na amani.

Nimekaa hapa nikiwaza na kujikuta napata kigugumizi cha mawaazo.......................mara nyingi nimeshuhudia couples mbalimbali zikizaliwa na nyingine kufa wakati nyingine zikisurvive....kuna kitu nimekinote sasa sijui ni mimi au ni mawazo yangu ninaomba msaada wenu katika kunielewesha .

............Mara nyingi zile couples ambazo mwanamke huwa ni aggressive--- kwa maana ya kuwa mnoko yaani asiyetaka mchezo na penzi akupalo.......... hudumu kwa muda mrefu than zile couple ambazo mwanamke ni mpole, ambaye hata kama mwenzi wake kakosea anaogopa kuuliza au hata akiuliza kile atakachojibiwa yeye atakikubali........... mfano umechelewa kurudi nyumbani au amekukuta na sms tata.............atakaa kimya au hata kama akiuliza ukitoa maelezo yoyote atakubali tu ....... tofauti na yule ambaye ni mkali anayeweza hata kukivunjilia mbali kinokia chako.... ambao wengine hudiriki hata kurefer kwa wenzako.... mh kiafabde changu noma!!

Je kuna ukweli wowote hapa?
 
Kakaz, dadaz, wapwaz/binamuz na Babuz...........Nawasalimu kwa upendo na amani.

Nimekaa hapa nikiwaza na kujikuta napata kigugumizi cha mawaazo.......................mara nyingi nimeshuhudia couples mbalimbali zikizaliwa na nyingine kufa wakati nyingine zikisurvive....kuna kitu nimekinote sasa sijui ni mimi au ni mawazo yangu ninaomba msaada wenu katika kunielewesha .

............Mara nyingi zile couples ambazo mwanamke huwa ni aggressive--- kwa maana ya kuwa mnoko yaani asiyetaka mchezo na penzi akupalo.......... hudumu kwa muda mrefu than zile couple ambazo mwanamke ni mpole, ambaye hata kama mwenzi wake kakosea anaogopa kuuliza au hata akiuliza kile atakachojibiwa yeye atakikubali........... mfano umechelewa kurudi nyumbani au amekukuta na sms tata.............atakaa kimya au hata kama akiuliza ukitoa maelezo yoyote atakubali tu ....... tofauti na yule ambaye ni mkali anayeweza hata kukivunjilia mbali kinokia chako.... ambao wengine hudiriki hata kurefer kwa wenzako.... mh kiafabde changu noma!!

Je kuna ukweli wowote hapa?


Sadly kwa maoni yangu hakuna my love...
 
Hapo A na B ni sawa yaani awe mpole awe mkali chochote kinaweza kutokea!
 
MJ1 kny ndoa nadhani hekima inatakiwa zaidi badala ya huo ukali,,ingawa kuna sehemu unatake part ila kwa upande mwingine ukali unaweza kuharibu jumla,,kwa hiyo haitabiriki.
 
Ukweli upo na haupo nikiwa na maana ya kwamba katika hali au mazingira yote mawili unaweza ukawa na anecdotal situations ambazo unazijua.

Lakini ya kuwa absolute hapana maana kila uhusiano una dynamics zake tofauti.

Ila kwa mwanamke ambaye ni no-nonsense type lazima mwanaume atatanguliza heshima mbele kuliko yule aliye pushover na hivyo kupelekea kuwa na uwezekano wa uhusiano kudumu kwa sababu utajua hatakuchekeachekea ukileta ujinga.

Sijui nimeeleweka?
 
Kuna kaukweli
Mwanamke asiyetaka upuuzi mume "humuogopa" hawezi kumletea gozigozi waziwazi lakini kandokando huyo mwanaume ni mtundu kupitiliza!
Kisirisiri huwa anampenda sana mkewe lakini huo woga alio nao humfanya atafute mwanamke wa nje mwenye kumtetemekea.Kuachana hawaachani maana mume anajua huyo mamaa ni mkombozi wake kama mchungaji wa kondoo aliyepotea.
 
MJ1 kny ndoa nadhani hekima inatakiwa zaidi badala ya huo ukali,,ingawa kuna sehemu unatake part ila kwa upande mwingine ukali unaweza kuharibu jumla,,kwa hiyo haitabiriki.

kuna ukweli ama hakuna wise.....(sijui usingizi?)
 
Couples ambazo mwanamke hasemi kitu halafu anaitikia tu hata kama anadanganywa ni mbaya sana.
Huwa analimbikiza hayo mambo rohoni. Siku atakwambia nipe talaka yangu, ukimuuliza sbb atakwambia ameamua tu kumbe moyoni moto unawaka.
 
Wangu akiwa mkali, nikitoka ndo sirudi. Nirudi kufanya nini wakati najua kutawaka moto?
 
Couples ambazo mwanamke hasemi kitu halafu anaitikia tu hata kama anadanganywa ni mbaya sana.
Huwa analimbikiza hayo mambo rohoni. Siku atakwambia nipe talaka yangu, ukimuuliza sbb atakwambia ameamua tu kumbe moyoni moto unawaka.
Si ni hapo awe moto unawaka moyoni,kama shinikizo la damu halijachukua nafasi yake? Unaweza kuwa kimya na kunyamaza kama nawe ni mtazamaji tu kwa maana hakuna ndoa.Otherwise kudumu kwa ndoa ni pamoja na afya njema,so lazma mlindane.
 
ukweli upo na haupo nikiwa na maana ya kwamba katika hali au mazingira yote mawili unaweza ukawa na anecdotal situations ambazo unazijua.

Lakini ya kuwa absolute hapana maana kila uhusiano una dynamics zake tofauti.

ila kwa mwanamke ambaye ni no-nonsense type lazima mwanaume atatanguliza heshima mbele kuliko yule aliye pushover na hivyo kupelekea kuwa na uwezekano wa uhusiano kudumu kwa sababu utajua hatakuchekeachekea ukileta ujinga.

sijui nimeeleweka?

mara unashangaa mwanamke amekupa mitama haujakaa sawa ile unanyanyuka unapewa kichwa ukiwa bado unajiuliza kinachoendelea unashangaa umepewa ngumi za mdomo sijui utabaki sijui utatoka nduki lol!!!!!!!!!
 
1. mwanamke ukiwa unamshiko umemzidi husband kwa sana halafu ukiwa na mdomo ndio atakuogopa anatafuta wa nnje kisirisiri lakini ukiwa wewe ndio tegemezi halafu unaleta kimdomo domo chako unatimuliwa mbali.

2. Inategemea huyo mwanaume alikupenda kwa dhati sio uliipanga hiyo ndoa either kwa kulazimisha au kwa kujibebesha mimba, kama hiyo ndoa ulilazimisha ukileta mdomo anakutimua kwani alikua hakupendi kwa dhati (kuna dada mmoja alilazimisha kuolewa kwa kujibebesha mimba, mwanaume akaja akazaa nnje akaleta mtoto mwanamke ile kuanza kugomba tu mwanaume akamjibu unanipigia kelele za nini na wewe si ukazae nnje kwanza sikukupenda ulinilazimisha ka vipi timua dada wa watu hana la kusema na alijizalisha watatu fasta)

3. unatakiwa usiwe mkali sana wala mpole sana mengine unakua unamezea tu ila yakizidi ndio unazungumza kama hasikii na wewe tafuta mpango wa nnje unakuwa unaenda kupoozea machungu ili kuepusha malumbano
 
umenikumbusha hii nyimbo ya nini malumbano ya nini maneno najiweka pembeni niepushe msongamano


1. mwanamke ukiwa unamshiko umemzidi husband kwa sana halafu ukiwa na mdomo ndio atakuogopa anatafuta wa nnje kisirisiri lakini ukiwa wewe ndio tegemezi halafu unaleta kimdomo domo chako unatimuliwa mbali.

2. Inategemea huyo mwanaume alikupenda kwa dhati sio uliipanga hiyo ndoa either kwa kulazimisha au kwa kujibebesha mimba, kama hiyo ndoa ulilazimisha ukileta mdomo anakutimua kwani alikua hakupendi kwa dhati (kuna dada mmoja alilazimisha kuolewa kwa kujibebesha mimba, mwanaume akaja akazaa nnje akaleta mtoto mwanamke ile kuanza kugomba tu mwanaume akamjibu unanipigia kelele za nini na wewe si ukazae nnje kwanza sikukupenda ulinilazimisha ka vipi timua dada wa watu hana la kusema na alijizalisha watatu fasta)

3. unatakiwa usiwe mkali sana wala mpole sana mengine unakua unamezea tu ila yakizidi ndio unazungumza kama hasikii na wewe tafuta mpango wa nnje unakuwa unaenda kupoozea machungu ili kuepusha malumbano
 
mara unashangaa mwanamke amekupa mitama haujakaa sawa ile unanyanyuka unapewa kichwa ukiwa bado unajiuliza kinachoendelea unashangaa umepewa ngumi za mdomo sijui utabaki sijui utatoka nduki lol!!!!!!!!!
hahahahahahahahahahah
 
Kakaz, dadaz, wapwaz/binamuz na Babuz...........Nawasalimu kwa upendo na amani.

Nimekaa hapa nikiwaza na kujikuta napata kigugumizi cha mawaazo.......................mara nyingi nimeshuhudia couples mbalimbali zikizaliwa na nyingine kufa wakati nyingine zikisurvive....kuna kitu nimekinote sasa sijui ni mimi au ni mawazo yangu ninaomba msaada wenu katika kunielewesha .

............Mara nyingi zile couples ambazo mwanamke huwa ni aggressive--- kwa maana ya kuwa mnoko yaani asiyetaka mchezo na penzi akupalo.......... hudumu kwa muda mrefu than zile couple ambazo mwanamke ni mpole, ambaye hata kama mwenzi wake kakosea anaogopa kuuliza au hata akiuliza kile atakachojibiwa yeye atakikubali........... mfano umechelewa kurudi nyumbani au amekukuta na sms tata.............atakaa kimya au hata kama akiuliza ukitoa maelezo yoyote atakubali tu ....... tofauti na yule ambaye ni mkali anayeweza hata kukivunjilia mbali kinokia chako.... ambao wengine hudiriki hata kurefer kwa wenzako.... mh kiafabde changu noma!!

Je kuna ukweli wowote hapa?

MJ1..Mambo yangekuwa marahisi hivyo ndoa nyingi zingedumu kwa sababu wanawake wengi wangeamua kuwa wakali au kuwa kama askari wa kukodi ili kuwashikisha adabu waume zao. Siyo hivyo mdogo wangu. Taasisi ya ndoa iko complicated kuliko hata Ikulu ya Marekani!

Ila kuna dada yangu mmoja tulikuwa tunaongea juzi (yuko kwenye ndoa karibia 30yrs) na tumekubaliana kwa hoja kuwa kwa sehemu kubwa kudumu kwa ndoa au kutodumu kunamtegemea mwanamume zaidi kuliko role ya mama! May be right or wrong, wadau wengine wanaweza kumwaga mauzoefu yao!
 
mara unashangaa mwanamke amekupa mitama haujakaa sawa ile unanyanyuka unapewa kichwa ukiwa bado unajiuliza kinachoendelea unashangaa umepewa ngumi za mdomo sijui utabaki sijui utatoka nduki lol!!!!!!!!!

Ha ha ha ha umenichekesha kweli TF haa ahha u made my day
 
Back
Top Bottom