Je, kuna ukweli kuwa wanawake wa kiafrika hawako huru kitandani?

wanawake wengi ambao huwa hawajiamini na miili na maumbile yao uwa si wazuri sana ktk foreplay...

Utakuta mwanamke labda anamtindi mkubwa na umelala ni wazi kabisa huwazuia wanaume kuuchezea,

Aananuka mdomo na jasho analotoa linakua na harufu kali,

K inakua na maji mengi na harufu kali..mwnamke mwenye hii huzuia mikono ya mwanaume ischezee K..kwani anajua ataumbuka na jamaa anaweza kuahirisha game

na ukikutana na wanawake wenye hyo sifa ndo mara nyingi hukaaga kama magogo as anakua hataki kuviamsha vilivyolala..aibu na kuogopa umbuka.

Nimeli experience hili
yah kutokujiamini ni sababu kubwa sana ya mwanamke kutokufika killeleni!
 
kwa majibu ya tafiti wanawke wengi wa kisenegali walsema wanafanya ili kuwaridhisha weni wao. sasa je hapa kwetu ni kweli?


mara nyingi wanawake wengi huwa hawako ktk mood ya kuti*ana..
Anavyofake orgy si kwamba anataka amridhishe mwanaume ila anatka kuacha t*iana as anaona ni kero..

Nimeliexperience hli pia..
 
wanawake wengi hasa wa kiafrika hawako huru kunako 6*6, sababu kubwa ni kwamba wana aibu so ukiwa unakiss au hata kumtekenya huko huwa anaona aibu na kuforce umfanyie penetration. kwani anajua atleast wewe ukimaliza basi yeye hana neno. Hii ni proved wa watu ambao walishirikishwa kwenye hii study iliyohusu masuala ya ndoa katika chuo kimoja huko Dakar Senegal na ndio maana wanawake wengi huwa wana fake orgasm.

Je wadau mnasemaje hapa?

Lakini umesahau wakati mwingine hata Mwanaume unaweza kulazimishwa kufanya mapenzi na mtu usiyempenda na uka fake kwamba umepizi....lol
 
i can imagine dadangu,ila sasa mambo mengi yanafanya wanawake tunafanya hivo,we case yako ilikuwa ni hiyo tena ni mara moja,lakini wengine hayo ndo maisha ya kila siku,na wala kwao si tatizo na pengine mwanaume hajui au hajali kama mkewe anafake wala nini,ni kanyaga twende watoto wanazaliwa na kukua kisha wanazaliwa wengine mpaka wanazeeka!we unafikiri ni kwanini wanawake wakfika age kuanzi 40+huwa na mhamasiko wa hali ya juu kihisia?mi naongea na wamama wengi na wengi wanakiri hili.
kuna siku nakumbuka tulikuwa tunatoka msibani, tupo kwenye gari 1 wamama 5, wenzangu wote ni wamama wazima wana watoto wapo vyuo vikuu. stori za wamama zikaanza, mama mmoja akatuuliza kama wamama nao wanafika kama wababa, tukamshangaa, yeye anasema hajawahi, na ana watoto 4. sasa huyo mama siyo kama ana-fake, maana hata hajui kama kuna kufika............ nikashangaa huyo mume ambaye anaweza kuishi na mkewe miaka yote hiyo, siku zinaenda na maisha yanaendelea.
 
mh sio wote kuna ambao akikupenda eh anajiachia mpaka wewe mwanaume ndio unakua unaona aibu....kuna some women who are crazy so to speak
 
mie nasema kuwa unajua bwana every lady has a nwty side sasa mwaname lazima aweze kumuweka lady at ease ili nawe awe huru kuji-express. sasa tatizo ya sie wanaume tunakuwa judgemntal sana...demu akionyesha makeke basi loh unaanza uliza huyu mileage itakuwa kubwa sana.....sasa inhibitions zinakuwepo hilo tulikubali ila wewe mwanaume ukiwa free unajoke kuhusu ur nawty side au fantasies zako utakuta demu nae anakuwa muwazi. sio wewe wataka demu awe free alafu kumbe unaanza kumjudge ah wee umalay* huo....hapo demu lazima auwe kama gogo
 
...Kulikuwa na topic kama hii katika site moja ambayo huwa napenda kuingia. Wachangiaji wengi ni weusi. Wachangiaji wengi wa kiume weusi walihitimisha kwamba pamoja na kuwa wanapenda sana kuwa na wanawake weusi kwani wanaenjoy zaidi lakini wanawake wa kizungu ni watundu mno na hawana matatizo kabisa na mambo mbali mbali yanayofanyika kunako sita kwa sita ingawaje walidai wanaona kuna improvement katika miaka ya karibuni kwa wanawake weusi na wengi walidai wanadhani imechangiwa sana na utandawazi.

Kuna wanawake nao wakachangia kwamba hata wanaume weusi si watungu kihivyo ukilinganisha na wanaume wa kizungu na mdada miaka ya nyuma kama aliomba kufanyiwa mambo fulani fulani basi aliweza kuambuliwa mkong'oto maana wanaume weusi walikuwa hawafanyi hayo mambo kabisaaa.



wanawake wengi hasa wa kiafrika hawako huru kunako 6*6, sababu kubwa ni kwamba wana aibu so ukiwa unakiss au hata kumtekenya huko huwa anaona aibu na kuforce umfanyie penetration. kwani anajua atleast wewe ukimaliza basi yeye hana neno. Hii ni proved wa watu ambao walishirikishwa kwenye hii study iliyohusu masuala ya ndoa katika chuo kimoja huko Dakar Senegal na ndio maana wanawake wengi huwa wana fake orgasm.

Je wadau mnasemaje hapa?
 
Last edited by a moderator:
Lakini umesahau wakati mwingine hata Mwanaume unaweza kulazimishwa kufanya mapenzi na mtu usiyempenda na uka fake kwamba umepizi....lol
Hivi zinavyomiminika huwa hawazisikilizii!!! Mwanamke mzoefu atajua tu kuwa hapa hujapizi.
 
Sasa kama mtu anataka kila siku kwa nini usi-fake sometimes???

Za ukweli zipo na za uongo zipo
Mradi maisha yanasonga.

hii kali sasa Kongosho mtu atataka kila siku pasi wewe kuridhia kwamba akufanye? na kama umekubali kwanini usijiachie tu?
 
Last edited by a moderator:
Kiukweli kwenye sex,aibu ni kitu ambacho kinaondoa utam na starehe yote ya tendo,mnapokuwa huru bila kuoneana haya mambo huwa matam sana.Unamwambia papasa hapa,cheza na mike hivi,pitisha ulimi hapa,tena unamsaidia kujua maeneo muhimu.Nyakati flan hivi kabla sijaamua kuwa single,niliwahi kumpata dada mmoja hivi,yeye alichokua anajua ni kulala chali baasi,yaani mpaka inakera!
 
snowhite big up sana tu. umenena ma dearest. lakini kweli inakuwaje hata mtu uish miaka kadhaa ndani ya mahusiano kweli ushindwe hata mara moja kufikia orgasm? ni sabababu hizo hizo ama ni maumbile?
 
Last edited by a moderator:
hii kali sasa Kongosho mtu atataka kila siku pasi wewe kuridhia kwamba akufanye? na kama umekubali kwanini usijiachie tu?

Labda anakubali kumpa kila siku kwakuwaq ni mke halali wa ndoa sasa mumewe anataka yeye atakataaje?
Kinachowaponza wanawake wengi hadi kufikia hatua hiyo ni kuhofia mume kutafuta nyumba ndogo kama mkewe hataki kumpa kadri anavyotaka.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli Ndio wanaowafaa wanaume Wa kiafrika, we mwafrika Unataka Tabia za wanawake Wa kizungu za nini? Porno ee Ndo zakufundisha? Wanawake Wa ki Africa are the best of all for African, na Wa kizungu kwa wazungu acha ulimbekeni!


wanawake wengi hasa wa kiafrika hawako huru kunako 6*6, sababu kubwa ni kwamba wana aibu so ukiwa unakiss au hata kumtekenya huko huwa anaona aibu na kuforce umfanyie penetration. kwani anajua atleast wewe ukimaliza basi yeye hana neno. Hii ni proved wa watu ambao walishirikishwa kwenye hii study iliyohusu masuala ya ndoa katika chuo kimoja huko Dakar Senegal na ndio maana wanawake wengi huwa wana fake orgasm.

Je wadau mnasemaje hapa?
 
kuna siku nakumbuka tulikuwa tunatoka msibani, tupo kwenye gari 1 wamama 5, wenzangu wote ni wamama wazima wana watoto wapo vyuo vikuu. stori za wamama zikaanza, mama mmoja akatuuliza kama wamama nao wanafika kama wababa, tukamshangaa, yeye anasema hajawahi, na ana watoto 4. sasa huyo mama siyo kama ana-fake, maana hata hajui kama kuna kufika............ nikashangaa huyo mume ambaye anaweza kuishi na mkewe miaka yote hiyo, siku zinaenda na maisha yanaendelea.
nikakumbuka stori yangu, siku ya kwanza kufika niliogopa sana, sikujua nini kinatokea............. mpaka leo huwa nataniwa
Fixed Point mimi ninamt namfaham ambaye ni mama wa wtoto 4 mkubwa anasoma sekondari jamani huyu dada kweli hajui hata kama watu huwa wanafkia orgasm. huwa anauliza hivi kilele ndo nini? hajui hata kama kuna raha yeye hufanya kwasababu anaish na mwanaume na siyo kwamba anajua nini kipo.
 
Last edited by a moderator:
snowhite big up sana tu. umenena ma dearest. lakini kweli inakuwaje hata mtu uish miaka kadhaa ndani ya mahusiano kweli ushindwe hata mara moja kufikia orgasm? ni sabababu hizo hizo ama ni maumbile?

gfsonwin hivi mwanamke ambaye hajawahi kufika kileleni tangu aanze majamboz anaweza kujua kwamba hafiki/hafikishwi?
Mimi nilidhani wale ambao walishawahi kufikishwa sasa wakikutana na wanaume ambao hawawafikishi ndio wanaweza kujua kwamba hawafiki.
 
Last edited by a moderator:
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom