Je, kuna ukweli kuwa mwanaume kuvaa chupi au kutahiriwa akiwa mchanga hudumaza uume?

Mi sivaaaaagi kabisa kitu zaidi ya suruaki yangu basi au kama ni bensi basi ndani siongezi chochote, ila jamaa akishtuka alafu nipo barabarani inabidi kuingiza mkono mfukoni nakuibani pembeni,

Ila kitu kimenyooka pima maji haioni kasoro
 
Vibamia vyenyewe unavyovisemea ndio hivi hapa nadhani
424c953b00b412cf3799b733230a452e.jpg
 
Nilitahriwa nikiwa na 6weeks lakn kila ninae mgegeda huwa anaomba tena mpaka nawakmbia mwnyw...
 
Jamani mtoto wangu alikatwa akiwa mdogo sana baada kua na kipere sa mbona unaniogopesha dogo asije shindwa kufata nyayo za dingi
 
West Africans wanatahiri watoto wakiwa wadogo lakini hawavakishwi pichu zaidi ya yale manguo ya ya vitenge. Kitu kinakua kikifuata force of gravity.
 
Poleni kwa majukumu ya kila siku,

Huwa napenda kujifunza mengi pia humu JF ila hili nimelikuta mahali nikasema si mbaya nikashare na nyie kuna ma shostee walio kua wanadai kuwa kwa wale wanaume waliotahiriwa wakiwa wadogo huwa ndiyo wanaongoza kuwa na vibamia hawa ukikutana nao faragha ukikohoa tuu kinatoka hawa wamechangia sana kutowaridhisha wenza wao. Mimi binafsi mwanaume wa kisoseji hapana jamani ni karaha mno. Hivi hii inaukweli wowote kuwa waliotahiriwa wadogo wana vivais?

Pili inasemekana mwanaume kuvaa sana chupi hii inapelekea uume kukuchika na kukosa afya tofauti na wale wenzetu wamasai ambao hawavai ata boxa hawa wanakua na dushe iliyosimama na iliyoshiba? Tunaomba tupeane ujuzi kidogo apa wale ma bi shostee dushe kibamia au iliyoshiba, na iliyopinda, au iliyonyooka ipi ya ukweli? Hivi kuna mwanamke anapenda kibamia? Na tuwashauri vipi hawa wanaume?
Hakuna ukweli wowote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom