Je,kuna ukweli hapa?shabiki wa msanii Tanzania vs shabiki wa msanii ulaya

Numbisa

JF-Expert Member
Dec 12, 2016
268,041
1,094,569
Mashabiki wa Tanzania wanaongoza kwa kuendeshwa na mihemko na matusi tele bila kutoa sapoti yoyote kwa kununua kazi za msanii wampendae. Wapo tayari kuchangishana pesa ya kigodoro kwenda kumsunta yeyote atakae mkosoa msanii wao ila kununua kazi zake hawawezi.(wapo tayari kujaza post kwenye account zao mitandaoni za kejeli na lugha chafu kwa yule wanayedhani ni adui wa msanii wao ila ni wagumu kutangaza biashara au kazi za msanii wao)

Mashabiki wa majuu(nchi za ulaya) wao wapo bega kwa bega kusapoti(kiuchumi) kila akifanyacho msanii wao ndio maana album zinapata mauzo makubwa na biashara za wasanii hao zinafanikiwa.

Haya ni maoni yangu tu je,ukweli ni huu au kuna kingine?
17125550_109921856172622_3452987052662980608_n.jpg
 
Ni kweli. Hii kitu nimeiona kwenye posts za mashabiki wa msanii X dhidi ya msanii Y. Posts zote ni kupondana tu!
Lakini sijaona posts za mashabiki wa msanii X au Y zikiweka mikakati ya kuuza albam au single za wasanii hao.
Kwa kifupi, mashabiki huunda makundi ya uadui na uhasama!
 
Mbona hata hao wa Ulaya wanatukana, Beyonce ana mashabiki wake hao ni chiboko, Rick Ross na 50 Cent bifu lao hadi mashabiki waliingilia, Lil Wayne mashabiki hua wanamtukana kutokana na sauti anayotumia kama kwa Justin Bieber tu.

Mwaka jana moto ulikua kati ya Desiigner na Future mashabiki waliunga tera wakamsakama sana Future.
 
Ni kweli wanatukana ila bado wapo mstar wa mbele kununua kazi za msanii wao,kuliko mashabiki wa huku wao wanatukana tuu bila sapoti yoyote kwa msanii wao
Mbona hata hao wa Ulaya wanatukana, Beyonce ana mashabiki wake hao ni chiboko, Rick Ross na 50 Cent bifu lao hadi mashabiki waliingilia, Lil Wayne mashabiki hua wanamtukana kutokana na sauti anayotumia kama kwa Justin Bieber tu.

Mwaka jana moto ulikua kati ya Desiigner na Future mashabiki waliunga tera wakamsakama sana Future.
 
Ni kweli wanatukana ila bado wapo mstar wa mbele kununua kazi za msanii wao,kuliko mashabiki wa huku wao wanatukana tuu bila sapoti yoyote kwa msanii wao
Hapo umesema kweli, ila kwa akili ya kawaida mapato hayaonekani kwa kua:
Mashabiki wanaonunua kazi ni wachache mno.

Mawakala wanawanyonya sana wasanii kwenye muziki Msama kwenye filamu Steps.

Kazi zao zinapatikana bure mtandaoni.

Uwezo wa kuburn kazi husika. Msanii katika albam ya nyimbo 12 unaweza kuta ana nyimbo 5 nzuri zingine zote bomu, suluhisho ni kutafuta kazi zingine kali na kuziburn kazi kali tupu.

Uchumi nao ni kikwazo.
 
Unajua mtu akiwa msanii na jina kubwa inabidi mtu asitegemee kipaji kimoja tu aanzishe kingine mfano wema alianzisha biashara ya lipstic moja kwa sh 40000 akidhan kwa team kubwa atavuna mamilion akajikuta ndan ya mwezi zinamdodea mpaka akashusha sh 10000 moja biashara ikamshinda,viatu hola na saiv application hamna sapoti.

Chukulia rihana ana manukato yake,kanye west ana viatu vyake vinauzwa ghali lakini vinanunuliwa kama kawaida.

Diamond kaanzisha mfumo wake wa kuuza kazi zake mwenyewe bila kupitia kwa promota,kama kwel wale mashabiki alionao sio wanafiki atafika mbali sana kiuchumi.
Hapo umesema kweli, ila kwa akili ya kawaida mapato hayaonekani kwa kua:
Mashabiki wanaonunua kazi ni wachache mno.

Mawakala wanawanyonya sana wasanii kwenye muziki Msama kwenye filamu Steps.

Kazi zao zinapatikana bure mtandaoni.

Uwezo wa kuburn kazi husika. Msanii katika albam ya nyimbo 12 unaweza kuta ana nyimbo 5 nzuri zingine zote bomu, suluhisho ni kutafuta kazi zingine kali na kuziburn kazi kali tupu.

Uchumi nao ni kikwazo.
 
Unajua mtu akiwa msanii na jina kubwa inabidi mtu asitegemee kipaji kimoja tu aanzishe kingine mfano wema alianzisha biashara ya lipstic moja kwa sh 40000 akidhan kwa team kubwa atavuna mamilion akajikuta ndan ya mwezi zinamdodea mpaka akashusha sh 10000 moja biashara ikamshinda,viatu hola na saiv application hamna sapoti.

Chukulia rihana ana manukato yake,kanye west ana viatu vyake vinauzwa ghali lakini vinanunuliwa kama kawaida.

Diamond kaanzisha mfumo wake wa kuuza kazi zake mwenyewe bila kupitia kwa promota,kama kwel wale mashabiki alionao sio wanafiki atafika mbali sana kiuchumi.
Tukichukulia mfano Wema ishu ya lipstick nadhani alikua amelenga zaidi watu wa Dar na wa maeneo yaliyo na wanaojiona wajanja.

Diamond kuuza wimbo online anakua hajacover Tz peke yake ni mpaka Rwanda na Burundi ambao hawajui kiswahili vizuri lakini wamekariri nyimbo zake.

Changamoto kubwa hapa ni zile blog na website ambazo zilikua zinatoa nyimbo za wasanii bure mfano hulkshare, muungwana, lakezone et al hawa wanaweza wakaununua kwenye web ya Diamond na kuuleta kwenye website zao for free, so kitakachotokea ni die hard fan wa Diamond tu ndiye ataingia website yake kuulipia wimbo.
 
Aisee inawezekana ila ujue hizo lipstic zilifika hadi ulaya kule,kenya,uganda zikisambaa.

Nadhan atakua na hakimiliki za kuzuia blogs kusambaza nyimbo zake
Tukichukulia mfano Wema ishu ya lipstick nadhani alikua amelenga zaidi watu wa Dar na wa maeneo yaliyo na wanaojiona wajanja.

Diamond kuuza wimbo online anakua hajacover Tz peke yake ni mpaka Rwanda na Burundi ambao hawajui kiswahili vizuri lakini wamekariri nyimbo zake.

Changamoto kubwa hapa ni zile blog na website ambazo zilikua zinatoa nyimbo za wasanii bure mfano hulkshare, muungwana, lakezone et al hawa wanaweza wakaununua kwenye web ya Diamond na kuuleta kwenye website zao for free, so kitakachotokea ni die hard fan wa Diamond tu ndiye ataingia website yake kuulipia wimbo.
 
Ni kweli wanatukana ila bado wapo mstar wa mbele kununua kazi za msanii wao,kuliko mashabiki wa huku wao wanatukana tuu bila sapoti yoyote kwa msanii wao
alafu kesho akiwa kama chidi benz vile wanaanza mocking zao wakati wao ndio number moja kila wakitoa nyimbo hata haijamaliza saa 24 unaikuta wanazo kwenye visimu vyao,mkito anauza nyimbo miambili lakini unamkuta mtu nasimu yake ya laki nakitu kadownload mziki wenye jingle ya mkito alafu kaweka kama ringtone haoni hata aibu
 
Na hapo msanii akilalamika makampun ya simu kutumia muziki wake kama ringtone bila malipo, baadhi ya mashabiki wanamzodoa eti anatafuta kiki
alafu kesho akiwa kama chidi benz vile wanaanza mocking zao wakati wao ndio number moja kila wakitoa nyimbo hata haijamaliza saa 24 unaikuta wanazo kwenye visimu vyao,mkito anauza nyimbo miambili lakini unamkuta mtu nasimu yake ya laki nakitu kadownload mziki wenye jingle ya mkito alafu kaweka kama ringtone haoni hata aibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom