Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,563
- 217,866
Natambua kuwepo uhusiano wa kimichezo miongoni mwa watu hawa , wote ni viongozi wa Simba , lakini je upo uhusiano wa kibiashara baina yao ?
Natanguliza shukrani .
Natanguliza shukrani .
ukijua ndo iweje ? tz kila mtu ni FBI....tuwaachie wenye mamlaka na hili jambo walishughulikie
kufahamu kuhusu lolote ni faida .ukijua ndo iweje ? tz kila mtu ni FBI....tuwaachie wenye mamlaka na hili jambo walishughulikie
naona umeamua kuanzia hapo katika upelelezi wako...Natambua kuwepo uhusiano wa kimichezo kuhusiana na watu hawa , wote ni viongozi wa Simba , lakini je upo uhusiano wa kibiashara baina yao ?
Natanguliza shukrani .
People are fighting for Tsh 1B.ukijua ndo iweje ? tz kila mtu ni FBI....tuwaachie wenye mamlaka na hili jambo walishughulikie
Hela ni motivation mkuu .naona umeamua kuanzia hapo katika upelelezi wako...
hahaha hii Billion 1 itaibua vipaji sana...
kabisa mi mwenyewe inabidi nifuatilie huu uzi kwa makini naeza nikapata jambo katika investigation yangu ya kuwania hiyo B1Hela ni motivation mkuu .
" Money in the bank "kabisa mi mwenyewe inabidi nifuatilie huu uzi kwa makini naeza nikapata jambo katika investigation yangu ya kuwania hiyo B1
Haaaa haaaa we subiri mambo humu ndani sebene kila mtu ili mradi virugu tupunaona umeamua kuanzia hapo katika upelelezi wako...
hahaha hii Billion 1 itaibua vipaji sana...