Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 859
- 1,012
Inasemwa mara nyingi kuwa eti ndani ya nyumba kama baba ndiye mwenye kauli basi kuna uwezekano mkubwa wa mke kuzaa watoto wa kiume. Na kama mama ndio mwenye kauli na mamlaka basi hata kizazi yaani wanazaliwa watoto wengi wakike tena waweza ona kalibia wote ni wakike. Je kuna uhuusiano gani hapa?
Maana kuna kamsemo eti ukizaa tu katoto ka kwanza ka kike utasikia wanasema mama kamzidi ujanja/yaani kamuongoza.
Je kuna uhusiano gani hapa wajuvi wa haya mambo????
Maana kuna kamsemo eti ukizaa tu katoto ka kwanza ka kike utasikia wanasema mama kamzidi ujanja/yaani kamuongoza.
Je kuna uhusiano gani hapa wajuvi wa haya mambo????