Je, kuna uhusiano gani kati ya kwenda hijja na harakati za uganga ama tiba za kisuna?

MUGA MUGA

JF-Expert Member
Jan 29, 2017
417
376
Habari Waheshimiwa wa JF.

Samahani kama nitamkwaza mtu kwa swala ninalotamani kulifahamu. Rafiki yangu wa Shuleni O Level, hata sasa nipo nae karibu ktkharakati za kupambania tonge, alifanikiwa kwenda KUHIJI Makka, miaka kama 7/8 sasa.

Aliporudi, akawa na katabia ka kuwasomea watu Dua kwa kadiri ya mahitaji yao, kitu ambacho hakuwahi kukifanya hapo awali.
Baadaye kidogo akaanza kuagua watu kwa dawa za kisuna. Mwishowe yote yamemshinda, na anaendelea na harakati za kufanya kazi alizokuwa ameziacha baada ya kutoka Kuhiji.

Mtu wa pili ni jirani yangu hapa Arusha, alifanikiwa kwenda kuhiji Makka kwa msaada wa kiongozi mmoja aliyemuahidi kwamba akipita Ubunge atamsapoti kwenda Kuhiji. Hatimaye mambo yalikuwa mazuri na alikwenda kuhiji.

Huyu naye akafanya kama yule rafiki yangu niliyetangulia kumzungumzia, Ni kama miaka 3/4 hivi iliyopita, alikuwa mganga wa kienyeji kabisa. Ila sasa yamemshinda, amerudi kwenye udalali wa viwanja huko Murieti, Njiro B & Kwenye hekaheka za CHAMA.

Je, kuna uhusiano gani kati ya Kwenda HIJJA na HARAHATI ZA UGANGA ama TIBA ZA KISUNA?

Nini kinatoa HAMASA YA KUTOA TIBA YA NAMANA HIYO?
 
Hulka za Binadamu waliovamiwa na Viumbe hao kutoka Katika Dini hizo ni kwamba Akienda Huko atarudi na Maajabu.

Siyo hao tu hata Wakristo wakienda Kuhiji huko Yerusalemu wanatamani Kujenga kanisa na Kuhubiri kutoa Mapepo

Dini hizi hazina msaada ki utu na Wala Kumtoa Mtu kwenye matatizo bali ni Upigaji wa Kikoloni Uliokuja. Kumbuka Bila Wakoloni usingekuwa unajua Leo Kuna Ukristo wala Uislamu.

Ni Vigumu kuwa Buddha maana Hawakukutawala wenye imani za Kibudha

Mtekwaji Ataongea ya Aliyemteka.
 
Habari Waheshimiwa wa JF.
Samahani kama nitamkwaza mtu kwa swala ninalotamani kulifahamu.
Rafiki yangu wa Shuleni O Level, hata sasa nipo nae karibu ktk harakati za kupambania tonge,
alifanikiwa kwenda KUHIJI Makka, miaka kama 7/8 sasa.

Aliporudi, akawa na katabia ka kuwasomea watu Dua kwa kadiri ya mahitaji yao, kitu ambacho hakuwahi kukifanya hapo awali.
Baadaye kidogo akaanza kuagua watu kwa dawa za kisuna.
Mwishowe yote yamemshinda, na anaendelea na harakati za kufanya kazi alizokuwa ameziacha baada ya kutoka Kuhiji.

Mtu wa pili ni jirani yangu hapa Arusha.
alifanikiwa kwenda kuhiji Makka kwa msaada wa kiongozi mmoja aliyemuahidi kwamba akipita Ubunge atamsapoti kwenda Kuhiji.
Hatimaye mambo yalikuwa mazuri na alikwenda kuhiji.

Huyu naye akafanya kama yule rafiki yangu niliyetangulia kumzungumzia.
Ni kama miaka 3/4 hivi iliyopita, alikuwa mganga wa kienyeji kabisa.
Ila sasa yamemshinda, amerudi kwenye udalali wa viwanja huko Murieti, Njiro B & Kwenye hekaheka za CHAMA.

Je, kuna uhusiano gani kati ya Kwenda HIJJA na HARAHATI ZA UGANGA ama TIBA ZA KISUNA?
Nini kinatoa HAMASA YA KUTOA TIBA YA NAMANA HIYO?
Wote wezi tu. Unafikiri wajanja wajanja ni wale wanaoitwa "wachungaji" tu?

Wajinga ndio waliwao.

Hao wote na hayo yote uliyoyasema hayapo katika mafundisho ya Uislam.


Uislam umeamrisha watu wasome na ndiyo maana Uislam ukatoa mabingwa wa kila fani. Kwenye medicine tuna Ibn Sinna aka Avicenna. Kwenye sayansi zingine tunao kina Alkhwaarizim aka Algorithm. Tunao Al Jabr (Aljebra).

Sifahamu kwanini wazungu waliwabadili majina yao na kuyafanya yasieleweke kuwa ni ya Waislam?Jiulize wewe kwanini?
 
Wote wezi tu. Unafikiri wajanja wajaja ni wale wanaoitwa "wachungaji" tu?

Wajinga ndio waliwao.

Hao wote na hayo yote uliyoyasema hayapo katika mafundisho ya Uislam.


Uislam umeamrisha watu wasome na ndiyo maana ukatoa mabingwa wa kila fani. Kwenye medicine tuna Ibn Sinna aka Avicenna. Kwenye sayansi zingine tunao kina Alkhwaarizim aka Algorithm. Tunao Al Jabr (Aljebra).

Sifahamu kwanini wazungu waliwabadili majina yao na kuyafanya yasieleweke kuwa ni Waislam?Jiulize wewe kwanini?
Basi sawa.
 
Habari Waheshimiwa wa JF.
Samahani kama nitamkwaza mtu kwa swala ninalotamani kulifahamu.
Rafiki yangu wa Shuleni O Level, hata sasa nipo nae karibu ktk harakati za kupambania tonge,
alifanikiwa kwenda KUHIJI Makka, miaka kama 7/8 sasa.

Aliporudi, akawa na katabia ka kuwasomea watu Dua kwa kadiri ya mahitaji yao, kitu ambacho hakuwahi kukifanya hapo awali.
Baadaye kidogo akaanza kuagua watu kwa dawa za kisuna.
Mwishowe yote yamemshinda, na anaendelea na harakati za kufanya kazi alizokuwa ameziacha baada ya kutoka Kuhiji.

Mtu wa pili ni jirani yangu hapa Arusha.
alifanikiwa kwenda kuhiji Makka kwa msaada wa kiongozi mmoja aliyemuahidi kwamba akipita Ubunge atamsapoti kwenda Kuhiji.
Hatimaye mambo yalikuwa mazuri na alikwenda kuhiji.

Huyu naye akafanya kama yule rafiki yangu niliyetangulia kumzungumzia.
Ni kama miaka 3/4 hivi iliyopita, alikuwa mganga wa kienyeji kabisa.
Ila sasa yamemshinda, amerudi kwenye udalali wa viwanja huko Murieti, Njiro B & Kwenye hekaheka za CHAMA.

Je, kuna uhusiano gani kati ya Kwenda HIJJA na HARAHATI ZA UGANGA ama TIBA ZA KISUNA?
Nini kinatoa HAMASA YA KUTOA TIBA YA NAMANA HIYO?
Hakuna uhusiano wowote, ndio maana huoni wengine wanaporudi hijja, wakifanya hivyo.
 
Hulka za Binadamu waliovamiwa na Viumbe hao kutoka Katika Dini hizo ni kwamba Akienda Huko atarudi na Maajabu. Siyo hao tu hata Wakristo wakienda Kuhiji huko Yerusalemu wanatamani Kujenga kanisa na Kuhubiri kutoa Mapepo

Dini hizi hazina msaada ki utu na Wala Kumtoa Mtu kwenye matatizo bali ni Upigaji wa Kikoloni Uliokuja. Kumbuka Bila Wakoloni usingekuwa unajua Leo Kuna Ukristo wala Uislamu. Ni Vigumu kuwa Buddha maana Hawakukutawala wenye imani za Kibudha

Mtekwaji Ataongea ya Aliyemteka.
Wewe huna unalolijua hujawahi kukutana na mabudha wa kitanzania.
 
Hulka za Binadamu waliovamiwa na Viumbe hao kutoka Katika Dini hizo ni kwamba Akienda Huko atarudi na Maajabu.

Siyo hao tu hata Wakristo wakienda Kuhiji huko Yerusalemu wanatamani Kujenga kanisa na Kuhubiri kutoa Mapepo

Dini hizi hazina msaada ki utu na Wala Kumtoa Mtu kwenye matatizo bali ni Upigaji wa Kikoloni Uliokuja. Kumbuka Bila Wakoloni usingekuwa unajua Leo Kuna Ukristo wala Uislamu.

Ni Vigumu kuwa Buddha maana Hawakukutawala wenye imani za Kibudha

Mtekwaji Ataongea ya Aliyemteka.
Hilo jina lako unalikumbuka kweli?
 
Hulka za Binadamu waliovamiwa na Viumbe hao kutoka Katika Dini hizo ni kwamba Akienda Huko atarudi na Maajabu.

Siyo hao tu hata Wakristo wakienda Kuhiji huko Yerusalemu wanatamani Kujenga kanisa na Kuhubiri kutoa Mapepo

Dini hizi hazina msaada ki utu na Wala Kumtoa Mtu kwenye matatizo bali ni Upigaji wa Kikoloni Uliokuja. Kumbuka Bila Wakoloni usingekuwa unajua Leo Kuna Ukristo wala Uislamu.

Ni Vigumu kuwa Buddha maana Hawakukutawala wenye imani za Kibudha

Mtekwaji Ataongea ya Aliyemteka.
ni vigumu sana kupokea elimu ya IMANI nyingine mbali na ile uliyowakutanayo wazazi wako.

Acha tuamini hizihizi tulizozipokea kutoka kwa wazee wetu.

Hatujui kwa hakika ni kwanini walizipokea dini hizi.
 
Back
Top Bottom