FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 35,845
- 40,433
Biashara ina tafsiri pana sana.
Baadhi ya shughuli zinazoitwa za ‘kiimani’ zinashabihiana kwa kiwango cha 100% na shughuli zingine za kibiashara ambazo husajiliwa na kupewa TIN number, leseni ya biashara pamoja na mashine za EFD.
Mfano:
1.) Mtu anaponunua maji kwa shs. 500/=, kisha ‘akayabariki’ na kuyauza kwa shs. 5,000/= kwa kila chupa, je, hii si biashara?
2.) Kiongozi wa imani anapofungua ofisi na kuchaji shs.100,000/= ili kumuona na kumuombea ‘mteja’ wake wa kiimani, na mwisho wa siku akaingiza pesa nyingi kuliko aliyotumia na kupata kipato/faida, ana tofauti gani na daktari anaefanya hivyo na kulipa kodo ikiwemo ‘ income tax’?
3.) Kuna bidhaa nyingine nyingi ambazo ‘wajasiriamali’ wa kiimani huziuza na kutengeneza faida, kama
‘Annointing oil’, ‘Vitambaa/leso za upako’, nk. nk
Sasa je, ni kwanini TRA isishtakiwe kwa uhujumu uchumi?
Baadhi ya shughuli zinazoitwa za ‘kiimani’ zinashabihiana kwa kiwango cha 100% na shughuli zingine za kibiashara ambazo husajiliwa na kupewa TIN number, leseni ya biashara pamoja na mashine za EFD.
Mfano:
1.) Mtu anaponunua maji kwa shs. 500/=, kisha ‘akayabariki’ na kuyauza kwa shs. 5,000/= kwa kila chupa, je, hii si biashara?
2.) Kiongozi wa imani anapofungua ofisi na kuchaji shs.100,000/= ili kumuona na kumuombea ‘mteja’ wake wa kiimani, na mwisho wa siku akaingiza pesa nyingi kuliko aliyotumia na kupata kipato/faida, ana tofauti gani na daktari anaefanya hivyo na kulipa kodo ikiwemo ‘ income tax’?
3.) Kuna bidhaa nyingine nyingi ambazo ‘wajasiriamali’ wa kiimani huziuza na kutengeneza faida, kama
‘Annointing oil’, ‘Vitambaa/leso za upako’, nk. nk
Sasa je, ni kwanini TRA isishtakiwe kwa uhujumu uchumi?