Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,188
- Thread starter
- #101
Nilimaanisha viumbe jamii ya binadamu ndugu, possibly hujafuatilia mjadala tangu mwanzo. Labda ni kwa sababu ninakosa kiswahili kizuri cha viumbe jamii ya binadamu (humanoids). So usi-complicatishe bure mzee.Kwani hujui kama duniani kuna viumbe wengine?
Au unaelewaje neno 'viumbe'!?