FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Je, kuna tofauti yoyote kati ya mzungu na albino, na kama zipo, je, ni zipi?
Je, kuna tofauti yoyote kati ya mzungu na albino, na kama zipo, je, ni zipi?
Acha siasa, hakuna albino kuna zeruzeru na mzungu usihalalishe kingeteza kuwa kiswahili.Je, kuna tofauti yoyote kati ya mzungu na albino, na kama zipo, je, ni zipi?
Mtu yeyote mwenye ngozi nyrupe anaupungufu wa melanini.Wazungu na zeruzeru wote wsnapungukiwa melanini Ndio maana wote si rafiki wa jua.Alibino ni mlemavu wa ngozi aliyekosa melanin ( colour pigments) kwenye ngozi yake ila mzungu hata ukosefu was melanin,,,
hii ipo hata kwenye mimea kuna kitu kinaitwa chlorophyll ambayo ni green pigment,,, kwa sababu chlorophyll ni green pigment haina maana kwamba mmea ambao sio wa kijan umekosa chlorophyll,,, So sio wazungu wote ni albino japo pia wapo wazungu albino kama Kelvin de bruyn wa man city
Mbona hujataja tofauti yoyote ile, unaposema weupe hawana rangi ndio unamaanisha nini? Wote mi naona ni 'weupe' na hawana 'rangi'.albino ngozi yake haina rangi, hata wazungu wana albino. ila mzungu wa kawaida ngozi yake ina rangi nae ni kwamba ni mweupe ila nao licha ya weupe akiwa albino utamtambua tu.
Kwahiyo wazungu wana melanin? Melanin ina rangi gani?Alibino ni mlemavu wa ngozi aliyekosa melanin ( colour pigments) kwenye ngozi yake ila mzungu hata ukosefu was melanin,,,
hii ipo hata kwenye mimea kuna kitu kinaitwa chlorophyll ambayo ni green pigment,,, kwa sababu chlorophyll ni green pigment haina maana kwamba mmea ambao sio wa kijan umekosa chlorophyll,,, So sio wazungu wote ni albino japo pia wapo wazungu albino kama Kelvin de bruyn wa man city
Sawa, nini tofauti yao?Acha siasa, hakuna albino kuna zeruzeru na mzungu usihalalishe kingeteza kuwa kiswahili.
yah wazungu wana melanin,, tulia soma vizur utaelewaKwahiyo wazungu wana melanin? Melanin ina rangi gani?
mzungu anaupungufu wa melanin lakin alibino ana kosa melanin elewa tofauti ya deficiency of melanin na lack of melaninMtu yeyote mwenye ngozi nyrupe anaupungufu wa melanini.Wazungu na zeruzeru wote wsnapungukiwa melanini Ndio maana wote si rafiki wa jua.
Nyie ndio wapiga kura wa CCMJe, kuna tofauti yoyote kati ya mzungu na albino, na kama zipo, je, ni zipi?
KUNA TOFAUTI kati ya huo ukosefu wa pigment zitengenezazo rangi katika kiumbe yeyote awe binadamu au ndege na mimeaSawa, nini tofauti yao?
Sawa, nini tofauti yao?
Je, hao wanaoitwa albino wa kizungu ndio wapi hao?Wote wana upungufu wa melanin pignent, ila Albino kazidi
Albino ana nywele za kipilipili, mzungu ana curly
Tofauti nyingine ni Albino anaishi maisha mabovu na kuwindwa kama swala, mzungu anaishi maisha ya juu hadi anawatumia alichosaza
Tofauti nyingine tena ni, Albino huwa analalamika kubaguliwa na mtu mweusi, ila kwa mzungu, mtu mweusi ndiye hulalamika anabaguliwa
Nadhani hakuna swali tena
Melanin huwa na rangi gani?yah wazungu wana melanin,, tulia soma vizur utaelewa
Kwahiyo wazungu ni maAlbino?HA
KUNA TOFAUTI kati ya huo ukosefu wa pigment zitengenezazo rangi katika kiumbe yeyote awe binadamu au ndege na mimea
View attachment 1117922
Albinism is the "congenital absence of any pigmentation or coloration in a person, animal or plant, resulting in white hair, feathers, scales and skin and pink eyes in mammals, birds, reptiles, amphibians and fish and other small invertebrates as well."Wikipedia https://en.wikipedia.org/wiki/Albinism
Nasikia kuna maAlbino wa kizungu, hao vipi?Mzungu anaonge kingereza albino kiswahili na kilugha cha asili..
Full stop