xivii09
JF-Expert Member
- Feb 9, 2012
- 265
- 145
Wadau nisiwachoshe hiki kisa cha kweli Mimi na mke wangu tumeanza kuishi pamoja baada ya kufunga ndoa takribani miezi kama sita iliyopita ila alikuwa mjazito kwa hiyo alijifungua miezi minne iliyo pita kwa hiyo game zote zilisimamama kwa sababu ya mtoto.
Sasa kisa ni kuwa mwenzangu kawa mtu kisilani mm sikujua ni nn kwa week nzima nikawa natafakari amekuwaje huyu mtu au mawazo yakaenda mbali sana au dogo siyo wangu nn.
Leo nimepiga game naona mtu kachangamka na kuwa mpole na msikivu je wanajamvi kuna mtu ashawai kukitana na wanawake wa aina hii baada ya kijifungua
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kisa ni kuwa mwenzangu kawa mtu kisilani mm sikujua ni nn kwa week nzima nikawa natafakari amekuwaje huyu mtu au mawazo yakaenda mbali sana au dogo siyo wangu nn.
Leo nimepiga game naona mtu kachangamka na kuwa mpole na msikivu je wanajamvi kuna mtu ashawai kukitana na wanawake wa aina hii baada ya kijifungua
Sent using Jamii Forums mobile app