J33
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 1,552
- 1,505
Wakuu naomba kuuliza kama zipo kampuni za kifedha hapa Tanzania hasa Dar au Pwani ambazo zinaweza kupokea wazo la kibiashara name kutoa mkopo kwa dhamana ya nyumba ya kibiashara au ya familia.
Binafsi nina nyumba mbili ya kuishi na ya wapangaji. Nataka kutumia nyumba moja kupata mtaji wa kutekeleza wazo nililonalo la kufanya ufugaj wa Ngombe wa Maziwa.
Binafsi nina nyumba mbili ya kuishi na ya wapangaji. Nataka kutumia nyumba moja kupata mtaji wa kutekeleza wazo nililonalo la kufanya ufugaj wa Ngombe wa Maziwa.