Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,921
- 122,189
DaaahhNamna ya kumuandaa maiti aliyechomwa moto akaiva
DaaahhNamna ya kumuandaa maiti aliyechomwa moto akaiva
Imagine huyu unatakiwa kumuandaa ili nguo zivalike na umtengeneze sura/ uso kwa ajili ya kuagwa na ndugu zake hasa kama ni mkristoDaaahh
Ni closed mkuu. Na hapo unakua umepewa kama dakika 15 za kulizoea hilo pepa... usome maswali ulizoee. Hii pepa ile ukiambiwa "start" na hujapitia maswali kabla ... unaweza kuzimia kwa presha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 maana its full of surprisesAsee mkuu hiyo ni open book exam au closed?
Duuuuuh hatar.....Ni closed mkuu. Na hapo unakua umepewa kama dakika 15 za kulizoea hilo pepa... usome maswali ulizoee. Hii pepa ile ukiambiwa "start" na hujapitia maswali kabla ... unaweza kuzimia kwa presha maana its full of surprises
Ifike kipindi huu utamaduni wa kuaga uwe na mipaka kwa ajili ya privacy ya wendazaoImagine huyu unatakiwa kumuandaa ili nguo zivalike na umtengeneze sura/ uso kwa ajili ya kuagwa na ndugu zake hasa kama ni mkristo
Hii kitu ilikuwa ndiyo mkombozi wangu,ilinibeba sanaMechanical draughting shikamoo zako!!!!!!!! Hili somo lilitaka liniue... Waliosoma tech wanaelewa
Mimi kuna somo lilikuwa lina lecturer msengee. Yaani kwanza kufundisha hajui, halafu akimaliza pindi anauliza mwenye swali.Cheka Tu mkuu Ila nilipitia kipindi kigumu Sana, hapana nishamaliza chuo na niliichomoa Ila kwa mbinde Sana
O-level Kwa mimi mambo ya vitabu vya mashairi.... Kujibu maswali ya ushairi ilikuwa shida sana sijui kuchambua fani ilikuwa balaa kwangu.Uchambuzi wa vitabu (Lugha) hususani kile kitabu cha "Ngoswe penzi kitovu cha uzembe". Loh! Ulinishinda kabisa.
ulitisha sana mkuu.Mimi kuna somo lilikuwa lina lecturer msengee. Yaani kwanza kufundisha hajui, halafu akimaliza pindi anauliza mwenye swali.
Ukijitokeza kuuliza anaku-crash.
Basi kuna siku tumegonga paper lake, nikapata 19 ( kiukweli wakifaulu watu hata 5 hawafiki kati ya wanafunzi 66 ).
Nikawa nina hofu ya Supp.
Bahati nzuri, alijichanganya kumbe hakurekodi maksi, akampa CR hiyo kazi ya kurekodi maksi🤣
Nilichofanya, nikachana ile paper ya juu, yenye maksi 19%, nikatumia kalamu nyekundu nikajiandikia 69% nikapeleka kwa CR🤣🤣
Hii kitu ilikuwa ndiyo mkombozi wangu,ili
Mkuu heshima kwko!!!! Kujua mech draughting ni kipaji aiseeeeHii kitu ilikuwa ndiyo mkombozi wangu,ilinibeba sana
Ahhahahaha sisi ticha alkua mbovu sasa af sina idea ya kuchora kabisa,nlptia tabu sana. Sishauri watoto zetu tuwapeleke Tech sculs aisee utamharbia future kbsDrawings ukikariri, ukiwa sio mtu wa prac na ukiwa na mwalim mbovu hamna rangi utaacha ona..
Organic Mbona Tamu sana..Hahahhaha mkuu nimecheka sana.
Kwahiyo bado upo chuo na hiyo Biochemistry bado hujaichomoa?
Kitu cha GS hakinaga maanaMie GS ilikuwa inanitoa sana Knockout.. Nishawahi Score adi 11/100 necta nikagonga F
Ohhh sio poa mkuuMultivariete Analysis
Wee ya chuo ilinitoa jasho organic1 mwaka wa kwanza na organic 2 yaani pamoja na ubabe wangu wa organic advance ila hapa nilikaaa, wengi walidisco sababu ya organic chem aseee baada ya kumaliza chuo nilikuwa nikiona majengo nasisimkaHahaa organic chemistry, sijui ile kitu ilikua na nini kwangu, haikuwahi kupanda kichwani aloo