Je, kuna simu inayoweza ku-operate kwa mfumo wa PC au Komputa

commm

JF-Expert Member
Sep 6, 2019
1,674
1,905
Wakuu nauliza na pia nataka kujua kama kuna simu inayo-operate au kufanya kazi kama kompyuta inavyofanya kazi,
Hapa nazungumzia jinsi upangaji wa mafaili unavyofanyika katika kompyuta na je simu pia inaweza kufanya kama vile kompyuta inafanya
Na pia jinsi kompyuta inavyofanya kazi kama multi task device.

Je, zipo simu za namna hiyo?
 
Wakuu nauliza na pia nataka kujua kama kuna simu inayo-operate au kufanya kazi kama kompyuta inavyofanya kazi,
Hapa nazungumzia jinsi upangaji wa mafaili unavyofanyika katika kompyuta na je simu pia inaweza kufanya kama vile kompyuta inafanya
Na pia jinsi kompyuta inavyofanya kazi kama multi task device, je zipo simu za namna hiyo?
Yes nishaona simu zina run windows xp, ila mkuu karibu simu zote kwa sasa si multi-tasking tena real mult tasking.
 
Yes nishaona simu zina run windows xp, ila mkuu karibu simu zote kwa sasa si multi-tasking tena real mult tasking.
Zinajitahidi ila sio true multitasking kama pc.

In app multitasking tu ni shida kwenye hizi mobile os.
 
Wakuu nauliza na pia nataka kujua kama kuna simu inayo-operate au kufanya kazi kama kompyuta inavyofanya kazi,
Hapa nazungumzia jinsi upangaji wa mafaili unavyofanyika katika kompyuta na je simu pia inaweza kufanya kama vile kompyuta inafanya
Na pia jinsi kompyuta inavyofanya kazi kama multi task device, je zipo simu za namna hiyo?
Mkuu kuna vitu vinaitwa UMPC unaweza Google uka explore zaidi. Kirefu chake ni ultra mobile pc,

Hizi ni computer ndogo sana nyengine size hizo hizo za simu, ila hazipigi simu, zipo portable unaweza weka mfukoni.

Zipo nyengine kwa ajili ya games lakini pia waweza tumia matumizi ya kawaida.
GPD-Win-3-Crowdfunding-Generic-H2.jpg
 
Mkuu hat high end smartphones siyo true multasking, kwa mfano nafungua browser wakati page ina load naiacha naendelea na kitu kingine nikirudi ishamaliza kuload.
Ni true multitasking ila sio 100% kama pc ndio maana nimetoa mfano hapo juu wa in app multitasking bado ni tabu. Kwa pc. Naweza fungua same instance za app moja mfano VLC ikaplay video 4 tofauti, ama Microsoft excel nikafungua documents 8 kwa mpigo etc.

Na android nature yake ram ikijaa automatic inafunga background process, os za pc hazifungi Bali task mpya uliofungua inakuwa slow. Kama unafanya jambo serious kwenye android unaweza ukalia.
 
Ni true multitasking ila sio 100% kama pc ndio maana nimetoa mfano hapo juu wa in app multitasking bado ni tabu. Kwa pc. Naweza fungua same instance za app moja mfano VLC ikaplay video 4 tofauti, ama Microsoft excel nikafungua documents 8 kwa mpigo etc.

Na android nature yake ram ikijaa automatic inafunga background process, os za pc hazifungi Bali task mpya uliofungua inakuwa slow. Kama unafanya jambo serious kwenye android unaweza ukalia.
Yah hiyo ni kweli, so hiyo ni limitation ya OS siyo processor right? Maana kama apple atumia ARM processors kama anazotumia kwenye simu kwenye laptops na zina run softwares kubwa hadi zimeipiga intel I guess now processor/ARM za simu ziko vizuri
 
Yah hiyo ni kweli, so hiyo ni limitation ya OS siyo processor right? Maana kama apple atumia ARM processors kama anazotumia kwenye simu kwenye laptops na zina run softwares kubwa hadi zimeipiga intel I guess now processor/ARM za simu ziko vizuri
Yes ni os, hata simu niki download emulator Ya windows kama wine unapata hio multitasking.
 
Mkuu hat high end smartphones siyo true multasking, kwa mfano nafungua browser wakati page ina load naiacha naendelea na kitu kingine nikirudi ishamaliza kuload.
Screenshot_20210117_202853_org.mozilla.firefox.jpg


Hapo nimefungua firefox na chrome nime split screen na zote zina uwezo wa kuload page simultaneously,

Jibu hapa ni inawezekana ila multitasking kwenye simu bado haina tija, labda kwa baadhi ya kazi ndogo ndogo tena.

Mfano nimefungua page nataka nijumlishe figure nilizoziona kwenye page husika bila kuswitch apps, hivyo unafungua calculator huku page ya awali ikiendelea kuwepo, huu ni mfano ambao naona ni useful kwa level za smartphones.
 
View attachment 1679943

Hapo nimefungua firefox na chrome nime split screen na zote zina uwezo wa kuload page simultaneously,

Jibu hapa ni inawezekana ila multitasking kwenye simu bado haina tija, labda kwa baadhi ya kazi ndogo ndogo tena.

Mfano nimefungua page nataka nijumlishe figure nilizoziona kwenye page husika bila kuswitch apps, hivyo unafungua calculator huku page ya awali ikiendelea kuwepo, huu ni mfano ambao naona ni useful kwa level za smartphones.
Ni useful kwa level nyingine, mfano unadownload movies kwa IDM ya simu, halafu una app ya workout ina trace steps zako, hapo hapo unachat whatsapp. Haiwezi kuwa kama kwenye PC ila kwa level yake si haba. I guess labda na size ya simu inachangia maana kwenye iPad iko safi
 
Wakuu nauliza na pia nataka kujua kama kuna simu inayo-operate au kufanya kazi kama kompyuta inavyofanya kazi,
Hapa nazungumzia jinsi upangaji wa mafaili unavyofanyika katika kompyuta na je simu pia inaweza kufanya kama vile kompyuta inafanya
Na pia jinsi kompyuta inavyofanya kazi kama multi task device, je zipo simu za namna hiyo?
Zipo mkuuuu... , pia simu zote ni computer, tena sasa ivi kuna kitu kinaitwa samsung dex... hii inafanya kaz kwenye simu kubwa kubwa za samsung yani unaproject simu yako kwenye display .. ambapo mfumo wa simu unabadirika na kuwa kama desktop ambapo unaweza kufanya kazi zote na kufungua windows zote kama zilivyo desktop na laptops... unaconnect external keyboard na mouse kama kaawaida

Unawezq kucheki video hapo chini kwa details zaidi

 
Back
Top Bottom