Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,397
Kuna habari ambazo nilizipata kutoka kwa mmoja wa "reliable sources" wangu kwamba simu zote zinazoingia Tanzania hasa zile za kutoka Ulaya Magharibi huwa zinasikilizwa na kuchujwa na kisha kufanyiwa kazi.
Kitendo cha kusikiliza simu za wananchi kwa siri bila ridhaa yao kinaitwa kwa kiingereza "Eavesdropping" au "wiretapping".
Ni pale embapo waya wa kusikilizia mazungumzo ya wananchi unaambatanishwa na waya wa simu wa kawaida au ule wa simu za karatasi telefax au telegram, email, instant messaging na njia zingine za mawasiliano zinazochukuliwa kuwa ni binafsi.
Sasa je kuna sheria ambazo zimepitishwa na bunge kuruhusu vyombo vya usalama viweze kufanya kazi yao hasa ya kufuatilia watu ambao ni tishio kwa usalama wa nchi na sio vinginevyo?
Hio ni moja tu ya mbinu ya vyombo vya usalama katika kufuatilia mienendo ya wananchi tufuatao na kutii sheria za nchi sasa ni nani ana haki ya kusikiliza au kufuatilia mawasiliano ya mwenzie bila ridhaa yake?
Kitendo cha kusikiliza simu za wananchi kwa siri bila ridhaa yao kinaitwa kwa kiingereza "Eavesdropping" au "wiretapping".
Ni pale embapo waya wa kusikilizia mazungumzo ya wananchi unaambatanishwa na waya wa simu wa kawaida au ule wa simu za karatasi telefax au telegram, email, instant messaging na njia zingine za mawasiliano zinazochukuliwa kuwa ni binafsi.
Sasa je kuna sheria ambazo zimepitishwa na bunge kuruhusu vyombo vya usalama viweze kufanya kazi yao hasa ya kufuatilia watu ambao ni tishio kwa usalama wa nchi na sio vinginevyo?
Hio ni moja tu ya mbinu ya vyombo vya usalama katika kufuatilia mienendo ya wananchi tufuatao na kutii sheria za nchi sasa ni nani ana haki ya kusikiliza au kufuatilia mawasiliano ya mwenzie bila ridhaa yake?