cyrustheruler
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 2,044
- 1,867
Ndugu zangu mimi ni mpishi ninaependa kupika na pia kula vyakula vilivyoandaliwa kwa afya nimesoma na kuona kuwa matumizi ya viungo kama hamira baking powder na bicarbonate soda na vanilla na vinginevyo sio mazuri kwa afya sasa nimekuwa najiuliza kuwa
Je, ipo njia gani ili upike na upate mkate mzuri au keki au doughnut nzuri bila hayo madubwasha.
Nimejaribu kupika lakini sijapata matokeo mazuri naomba uzoefu wenu.
Je, ipo njia gani ili upike na upate mkate mzuri au keki au doughnut nzuri bila hayo madubwasha.
Nimejaribu kupika lakini sijapata matokeo mazuri naomba uzoefu wenu.