Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,008
- 26,317
KUNA black america mmoja ni athlete huko states na ana slavery heritage from both parentsUkweli Roach
Daudi ndege ulaya
But anaitwa"AKILI MARADUFU SMITH
KUNA black america mmoja ni athlete huko states na ana slavery heritage from both parentsUkweli Roach
Daudi ndege ulaya
Kibantu ni "Nsia" na sio "Sia".Sia nimewahi kuona mzungu ana hilo jina
Kibantu ni "Nsia" na sio "Sia".
Hiki hua ni kiswahili sanifu kabisa? hebu nieleweshe upande wangu hua nadhani tunakosea kutamka hivyo.Binafsi yangu
Na waliosema Yana maana ulizotaja ni hao hao wazungu!
Nakwambia hilo jina ni la kizungu mbona unakuwa mbishi?????? Cmoon men....Unajua maana ya Sia wewe?hapo kwanza ni jina la kabila la wachaga hakuna uzungu hapo
Wewe ni mtumwa wa kila kitu !Majina ya asili yetu ya mababu wafu(mizimu), bali majina ya kizungu ambao pia ni wafu (watakatifu).... ukielewa tofauti kati ya mizimu na watakatifu utakuwa katika uelekeo wa kujikomboa.
Makengeza au Mabala wa MabalaaRichard Mabala wa Mabala the Farmer