Zawadini
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 2,214
- 1,638
Mkuu majina hayo tunayoyaita sisi kwa kychukua kutoka kwao, kama utaitwa kwa Kiswahili utalibadilisha siku hiyo hiyi, mfano: Seif kwa Kiarabu ni upanga, Hassan maana yake ni mwema/mzuri. Yako mengi. Wazungu wenyewe husema what is in a name? Sisi Waswahili tunasema "jina si mboje".