nilisikia watatangaza mwaka huuu, pia za state attorneys kama wewe ni mwanasheria....uliye na uzoefu wa prosecutions, sio fresh from skulli...
Mkono mtupu haulambwi,hivi hujui kama ajira za siku hizi ni kupeana?Hii kitu ya uzoefu hii mimi kiukweli siipendi. Mtu atapata vipi uzoefu kama hatapewa nafasi ya kuajiriwa? Utadhani hao wenye uzoefu walizaliwa nao.
unapenda shari? unajua kupanga ngumi kaka?au kuna mla rushwa unamjua ndo unamvutia kasi? kama afya yako mgogoro sikushauri coz awali wana training za nguvu ili uweze kutimiza wajibu,zikitoka utajuzwa usiwe mbali na source za habariSamahani wakuu mwenye taarifa au alieko karibu na hawa wakuu wa PCCB ajaribu kuulizia ni lini watatangaza hizo Ajira,natanguliza shukurani kwenu nyote
Wala usijali mkuuntakua mvumilivuunapenda shari? unajua kupanga ngumi kaka?au kuna mla rushwa unamjua ndo unamvutia kasi? kama afya yako mgogoro sikushauri coz awali wana training za nguvu ili uweze kutimiza wajibu,zikitoka utajuzwa usiwe mbali na source za habari