Je, kuna mtu ambaye amewahi kusifiwa na wahindi kama mchapakazi

Watanzania kiukweli kufikia walipo nchi za Ulaya ni ndoto... Yaani wao wahindi wangekuwa wanafanya kazi kimayai kama sisi wala usingekuta wapo hapo walipo kiuchumi.....
Wahindi, wazungu ukifanya nao kazi bado wanatuona tupo slow sana hata ufanye kazi hadi mwenyewe uone kweli umefanya kazi lakini kwao wanaona hakuna ulicho kifanya ni ukweli hakuna ulicho kifanya zaidi ya kijibaraguza tu....
Ukienda kwenye viwanda huko China ukaona jinsi mijamaa inavyo piga kazi, unaweza kudhani ni maroboti, mbwa wanapiga kazi si mchezo....
Kula watu hawawazi kusifiwa aisee wasingekuwa hapo walipo, nafanya kazi na ndugu zangu wabongo ni wavivu balaa kazi ni stori tu, kupigana majungu, kufitishana upumbafu mtupu.....
Kuna watu wanapiga kazi ofisi zao zipo karibu na nyumbani kwao lakini wanaweza kufika kwao hata siku tatu hawajafika kuiona familia.....

Ndiyo maana wazungu wana ndoa za mikataba sababu ya kazi, unakuta mtu anapiga kazi hadi anaisahau familia, mnajua tena wanawake wanataka baba awe karibu na familia akisha ona baba/mme wake yupo buys sana anatafuta chaka lingine... Jamani kuna watu wanapiga kazi acheni masihara....
muhundi gani umemuona anafanya kazi?
 
Mimi nilipewa na cheti kabisa cha kazi nzuri. Wahindi ni wabahili ila nimejifunza mengi.
Jamaa wana focus ya kuwekeza na familia/ukoo.

Sisi tuna focus kwenye bata na kuonekana upo vizuri.

Nakumbuka, muda wa lunch wakati sisi tunaenda kununua chakula, wahindi (mabosi) house girls wao wanapeana zamu wakuletea chakula ofisini. Leo analeta house girl wa huyu kesho wa yule.

Ni wabahili mpaka kwenye mavazi yao wenyewe wanayovaa, lakini wafuatilie utagundua wana nyumba canada, mara maduka ya madini, vifaa vya umeme na kadharika.

Sisi ni bata batani, ufahari wetu ni bar, kutoka kwa wazazi (kwenda kupanga yaani faster, ukipata kazi tu mipango inaanza) na kununua gari.

TUNAANZA KUONGEZA GHARAMA KABLA KUONGEZA KIPATO.

Siku tukifukuzwa kazi, tunalialia.

Ushauri wangu. Pamoja na ubahili na ubaguzi wao, tujifunze mambo mazuri wanayofanya.
Ni kweli kabisa, ngozi nyeusi tuna ulimbukeni wa kuonekana Bora mbele za watu wakati background zetu zipo matopeni

Hapa ndo tunapokwama, kutaka kuoneza matumizi kabla ya ku maximize wigo wa mapato
 
tehteh
kama una hasira za karibu unaweza piga mtu,,,
kisa kutumwa tumwa
Umeajiriwa dukani unatumwa mpaka nyumbani.Huko nyumbani isidhanie kuwa unatumwa vitu vya thamani ni kupewa taka ukatupe au kufyagia basi.
kuna siku nipo dukani nkaitwa store kupanga mzigo na kufyagia,nkatumia nguvu nyingi nimalize haraka haraka nipate kupumzika.daah heyyy kumaliza kufagia naambiwa sijapangusa mavumbi ukutani.kumaliza mavumbi ukutani ni kupanga boksi,na wenyewe wanakuwepo wanakutizama tu hawakusaidii

Dukani ngozi nyeusi tukiwepo tunatakiwa tusimame tu wao wameweka viti vya kukalia na hakuna hakuna ruhusa ya kuzungumza ovyo ovyo, ni kuangalia kazi tu.

Kuna mweusi mwezangu mmoja alipinda akasema "Tusizungumze vipi bwana kwani hapa tupo msikitini tunaswali,kwamba tukae kimya?" Jamaa kusema vile Boss kaona kajibiwa fyongo mbele ya mwanawe,akakaa kimya ila baada ya kazi jamaa akaitwa akafanyiwa hesabu ya kazi yake kisha akaambwa kazi basi.

Kazi inakua kubwa mshahara kidogo,na muda wa kufanya kazi ni mwingi.Kila mwaka wanakua wanatoa sadaka kwa watu wao wa karibu na wafanyakazi wao.Fursa ndo hii hii,ililkua mwisho wa mwezi tulianza kupewa sadaka wafanyakazi kisha na mshahara ukafatia.

Siku ya pili sikurudi tena kazini,jamaa walipiga simu mpaka basi.Boss kaona kama kaibiwa,kutoa pesa za sadaka na mshahara hapo hapo ilimuuma sana na aliishia kunilani tu na kuapiza kwamba sitopata kazi popote na ntarudi pale pale.Sikurudi.
 
SAsa kwani hizo kazi huwa munawafanyia bure? si munalipwa tena munafanya kwa ridhaa zenu. Sasa munataka musifiwe kwa kipi tena. Acheni uvivu fanyeni kazi.
 
Habarini, nataka kubadilishane mawazo, visa na mikasa kuhusu hawa ndugu zetu WAHINDI

Nimefanya kazi kampuni ya wahindi miaka mitatu, sijawai kusifiwa wala kuambiwa kuwa nimekuwa bora kwao

Wao muda wote wanataka kukuona unakimbizana na kazi zao, sijawai kusikia wakisema kuwa nimekuwa the best

Karibuni

mbona siku moja nilimsikia tajiri yako muhindi akimsifia dada yako anasema mzuri sana
 
Wahindi wanyonyaji sana hao. Wanapenda kufanyiwa kazi hawana kabisa shukrani.Hata lipa yao ni kiduchu.

ni kweli wanapenda kunyonya sana sijui na wewe walikunyonya maana huwa hawataki kitu kingine ni kunyonya tu
 
dubai imejengwa na wahindi nenda kaona wanavyofanya kazi wewe mwafrica huwezi kabisa kushindana nao
 
sisi tukiajiriwa tunataka kupiga dili kazini pia wakati wakazi tuongee mipira tumuongelee diamond nani atakubali. ukiajiri wanawake ndio kabisa simu na yeye ana chat masaa yote ukija kuhudumiwa anakuwa na roho mbaya sana
 
wahindi watanzania ulishaona wanasoma chuo mlimani au udom utawaona shule za kawaida ila ikifika mambo ya chuo wao wanajua wanasoma vipi hawana tcu wala necta utamkuta ameanza kazi offisi za tiketi za ndege au utawaona wamefungua makampuni wameanza biashara wewe mwenzangu ukitoka chuo unaambiwa kafuge samaki
 
India ilijengwa na waafrica?

dubai imejengwa na wahindi mpaka leo kumbuka wajengaji wakubwa duniani wahindi fani zote ni wahindi ukulima wao hizi bodaboda tvs nani katengeneza unafikiri masanja ujue patel katengeneza wewe unajua kuongele demu fulani nilimpata nikamla yupo bomba
 
Umeajiriwa dukani unatumwa mpaka nyumbani.Huko nyumbani isidhanie kuwa unatumwa vitu vya thamani ni kupewa taka ukatupe au kufyagia basi.
kuna siku nipo dukani nkaitwa store kupanga mzigo na kufyagia,nkatumia nguvu nyingi nimalize haraka haraka nipate kupumzika.daah heyyy kumaliza kufagia naambiwa sijapangusa mavumbi ukutani.kumaliza mavumbi ukutani ni kupanga boksi,na wenyewe wanakuwepo wanakutizama tu hawakusaidii

Dukani ngozi nyeusi tukiwepo tunatakiwa tusimame tu wao wameweka viti vya kukalia na hakuna hakuna ruhusa ya kuzungumza ovyo ovyo, ni kuangalia kazi tu.

Kuna mweusi mwezangu mmoja alipinda akasema "Tusizungumze vipi bwana kwani hapa tupo msikitini tunaswali,kwamba tukae kimya?" Jamaa kusema vile Boss kaona kajibiwa fyongo mbele ya mwanawe,akakaa kimya ila baada ya kazi jamaa akaitwa akafanyiwa hesabu ya kazi yake kisha akaambwa kazi basi.

Kazi inakua kubwa mshahara kidogo,na muda wa kufanya kazi ni mwingi.Kila mwaka wanakua wanatoa sadaka kwa watu wao wa karibu na wafanyakazi wao.Fursa ndo hii hii,ililkua mwisho wa mwezi tulianza kupewa sadaka wafanyakazi kisha na mshahara ukafatia.

Siku ya pili sikurudi tena kazini,jamaa walipiga simu mpaka basi.Boss kaona kama kaibiwa,kutoa pesa za sadaka na mshahara hapo hapo ilimuuma sana na aliishia kunilani tu na kuapiza kwamba sitopata kazi popote na ntarudi pale pale.Sikurudi.
Kweli mkuu jamaa yangu ni Driver lakini anatumwa hadi sokoni pia anapewa kazi ya kunyoosha nguo za familia ya bosi wake yaani mipaka ya kazi haipo kabisa.
 
Back
Top Bottom