Je, kuna mbunge yeyote wa upinzani atarudi Bungeni 2020?

BILGERT

JF-Expert Member
Feb 27, 2015
6,535
10,974
Wakuu,ninaendelea kutafakari juu ya siasa za hapa Tanzania kutokana na uminywaji wa demokrasia.

Maana tumeshuhudia matokeo ya marudio ya uchaguz kwenye zile kata 43.Ambapo CCM ilishinda kata 42 na upinzani kata 1 pekee.

Hali hiyo inanifanya nitafakari juu ya hatma ya wabunge wa upinzani kwenye uchaguzi ujao wa mwaka 2020,je kuna yeyote atafanikiwa kutetea kiti chake? Na hata kama akitetea je,atatangazwa mshindi?

Karibuni kwa mawazo yenu.
 
Hata wa viti maalum hawatarudi? Ccm bwana.
unafahamu vigezo vya upatikanaji wa wabunge wa viti maalumu kwa chama husika? vinginevyo kila chama hata CHAUMA kingekuwa na mbunge wa viti maalumu bungeni
 
Wakuu,ninaendelea kutafakari juu ya siasa za hapa Tanzania kutokana na uminywaji wa demokrasia.

Maana tumeshuhudia matokeo ya marudio ya uchaguz kwenye zile kata 43.Ambapo CCM ilishinda kata 42 na upinzani kata 1 pekee.

Hali hiyo inanifanya nitafakari juu ya hatma ya wabunge wa upinzani kwenye uchaguzi ujao wa mwaka 2020,je kuna yeyote atafanikiwa kutetea kiti chake? Na hata kama akitetea je,atatangazwa mshindi?

Karibuni kwa mawazo yenu.

2020 Mbowe,Lisu,Lema na Mnyika out!!.....believe me mkuu!!
 
Wakuu,ninaendelea kutafakari juu ya siasa za hapa Tanzania kutokana na uminywaji wa demokrasia.

Maana tumeshuhudia matokeo ya marudio ya uchaguz kwenye zile kata 43.Ambapo CCM ilishinda kata 42 na upinzani kata 1 pekee.

Hali hiyo inanifanya nitafakari juu ya hatma ya wabunge wa upinzani kwenye uchaguzi ujao wa mwaka 2020,je kuna yeyote atafanikiwa kutetea kiti chake? Na hata kama akitetea je,atatangazwa mshindi?

Karibuni kwa mawazo yenu.
Hakuna hata mmoja.Tumechoka na sarakasi zao
 
Mkuu ukishasikia watahakikisha wanashinda kwa gharama yoyote ile basi ogopa sana. Yaliyojiri kwenye uchaguzi wa Madiwani ilikuwa cha mtoto hii itakuwa picha kamili ya kuhakikisha wapinzani wanafutika rasmi nchini kwa kutoambulia hata kiti kimoja cha ubunge.

Nadhani uliona Mkuu wa mkoa wa Mbeya akimuomba samahani dhalimu kwa kushindwa kukamilisha wizi wa kiti cha udiwani. Sidhani kuna Mkuu wa Mkoa yeyote yule atakayekuwa tayari kutaka kuomba samahani.

Wakuu,ninaendelea kutafakari juu ya siasa za hapa Tanzania kutokana na uminywaji wa demokrasia.

Maana tumeshuhudia matokeo ya marudio ya uchaguz kwenye zile kata 43.Ambapo CCM ilishinda kata 42 na upinzani kata 1 pekee.

Hali hiyo inanifanya nitafakari juu ya hatma ya wabunge wa upinzani kwenye uchaguzi ujao wa mwaka 2020,je kuna yeyote atafanikiwa kutetea kiti chake? Na hata kama akitetea je,atatangazwa mshindi?

Karibuni kwa mawazo yenu.
 
Mkuu ukishasikia watahakikisha wanashinda kwa gharama yoyote ile basi ogopa sana. Yaliyojiri kwenye uchaguzi wa Madiwani ilikuwa cha mtoto hii itakuwa picha kamili ya kuhakikisha wapinzani wanafutika rasmi nchini kwa kutoambulia hata kiti kimoja cha ubunge.

Nadhani uliona Mkuu wa mkoa wa Mbeya akimuomba samahani dhalimu kwa kushindwa kukamilisha wizi wa kiti cha udiwani. Sidhani kuna Mkuu wa Mkoa yeyote yule atakayekuwa tayari kutaka kuomba samahani.
Daah,inasikitisha saana mkuu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Naungana na wewe mkuu,nadhani karibia wote hawata rudi

Kama kuna ushindani watarudi wengi kuliko sasa. Ila kama ni kwa hayo mapanga hakuna atakayerudi na wala hakuna anayetaka kurudi kwa wafuasi wake kukatwa mapanga. Ila shida sio kurudi wapinzani bungeni bali maisha ya hao wanaolazimishwa kupewa viongozi wa ccm wawatawale itakuwaje?
 
Watu si wanazo grisi, maana mkuu alitushauri tutumie grisi, acha watu washabikie kufutwa upinzani
 
Back
Top Bottom