Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,546
- 2,986
Habari wadau naimba kuuliza tu!
Mimi ni mgeni wa hesabu yaani nahisi kama sijaumbiwa kusoma hesabu, je kwa wale wazoefu naomba kuuliza mahesabu yapo mengi kwenye kozi hii kwa sababu naipenda sana kuisomea.
Mimi ni mgeni wa hesabu yaani nahisi kama sijaumbiwa kusoma hesabu, je kwa wale wazoefu naomba kuuliza mahesabu yapo mengi kwenye kozi hii kwa sababu naipenda sana kuisomea.