Zeal of God
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 569
- 879
Wadau nimekutana na hii video mama huyu akiwa anaongea mengi ila mojawapo ni hili la kuhusu uvaaji wa pempasi kwa watoto.
Je hili ni janga au ni kukosa elimu sahihi kuhusu matumizi ya pempasi? Ninawafahamu wazazi kadhaa hawataki kabisa kusikia hii kitu kuhusu pempasi.
Naamini humu tuna wataalamu wa afya na wenye mifano hai juu ya hili.
Karibuni
Je hili ni janga au ni kukosa elimu sahihi kuhusu matumizi ya pempasi? Ninawafahamu wazazi kadhaa hawataki kabisa kusikia hii kitu kuhusu pempasi.
Naamini humu tuna wataalamu wa afya na wenye mifano hai juu ya hili.
Karibuni