Unakuwa out of date. Kama kuna features mpya zimeongezwa huwezi kuzipata.Kuna mda simu inanilazimisha ni aptdate na mimi nafuta yaani sii aptdate nafuta kabisa je?kuna madhara yeyote nisipo fanya hivyo?
kwa hiyo kisheria ni lazma ni apdateUnakuwa out of date. Kama kuna features mpya zimeongezwa huwezi kuzipata.
Pia na security inapungua. Wanapofanyia update wanakuwa wameona baadhi ya udhaifu kwa app yao ndio maana unatakiwa uiapdate. Ili uende sawa.
😂😂😂😂😂😂😂😂Kama inakutaka u aptudate usikubali kabisa!
Ila kama inataka ui-update, basi fanya hivyo!
Ni kwa faida ya simu yako. Kama wadau walivyosema hapo juu. Ila kama huitumii ni vyema ukaitoa/uninstall Ila kama unatumia ni vizuri ukiiapdate.kwa hiyo kisgmheria ni lazma ni apdate
Hahahaa chagua yoyote the best ya kwanzahii ziko nyingi nashindwa kuchagua
Dah unatumia simu gani? Kwakuwa kila simu ina namna yake ya kuondoa appnashindwa namna ya kua unstill maana kila nikifanya hivyo bado zipo